Kudanganya......

.....hahaha.....kuna walio expatriates wa kudanganya hata ukimwambia aape kwa msahafu, au biblia.....

Atadanganyia humo humo na kiapo cha uongo...
Uongo ni kipaji. Unapodanganya hutakiwi kusahau....😀

mbu,
mwenye silka ya kudanganya huwa hasahau....
Ushawahi kuambiwa kuwa 'fulani akiongea maneno kumi, chukua mawili, maneno nane muachie? Hao ni balaa......kwa kupangilia uongo...


Ila ukiona mtu kakudanganya, halafu masaa mawili baadae anageuza sentensi jua sio mzoefu huyo

ila inakera unapodanganywa huku ukijua kuwa unadanganywa loh.....
 
Reactions: Mbu
RR na wewe unazeeka siku hizi!
Waelewe Mbu na Fidel80 hapo ufaidike. U play by the rules of the game. Ila kuna mambo for sure huhitaji kuyajua. Unadhani Mungu alivyoweka kuwa hakuna kusoma mind ya wenzio alikuwa hana software?

Mie hata Mungu anipe kipaji ya kuona mambo ya kiroho ntakataa, I'm comfortable hapa. Lol! Maisha yangekuwa magumu atii kama kuishi kwenye 'Men in Black 3'!
 

.....in that case umejikinaisha na 'kudanganywa'....mie ninavyopenda ligi...nitapoacha kujali inamaana mapenzi yamekufa....

Erotica aligusia wengine hudanganya kwa kujikwamua na maswali na kubanwa banwa na maswali ya 'upo wapi, na nani, kwanini, utarudi saa ngapi, hutachelewa ....etc'....

Erotica, naomba kukujibu mie Mbu na prefer mtu anayenambia ukweli unaouma, kuliko kuambiwa Uongo wa dhahiri.
 
Kuna kudanganya kwa dhamira ya kujipa kauhuru flani hivi, yaani si kwa nia mbaya. Kama vile navompiga fix bibi yenu kuwa naenda kuangalia fainali ya kombe la Dunia kati ya Manchester United Vs QPR (bibi yenu asivojua mpira wala haulizi) kumbe naenda kuungana na washkaji kupiga ulabu....

Ila kuna udanganyifu wa nia mbaya.... ili ukatimize mambo yako maovu. Nakumbuka yaliyonitokea enzi hizo (siyo mimi tafazali) Nlipomuaga bibi yenu kuwa naenda kazini night shift kumbe nikaenda lala zangu kwa Sweet Anita. (siyo mimi tafazali) Usiku mtoto kazidiwa ghafla bibie kapiga simu yangu holaaaa (nlishapanga kumfix charge imeisha incase of anything). Kamkimbiza mtoto hospital then akaamua kupiga simu ya ofisini... Alishangaa alipoambiwa mbona ODM (siyo mimi tafazali) yuko likizo siku ya pili leo?.............. Khaaaa!

Kilichotokea ni siri yangu (siyo mimi tafazali) lakini ndoa yangu bado iko imara (kwakuwa sikuwa mimi tafazali)

Mwisho wa hadithi.
 

Hata nami naona ni madharau yaliyopitiliza. Nachukia sana watu wa namna hii, mwanangu na nieces na nephews wangu wanajua mama/aunt kuliko umdanganye bora umwambie ukweli mtakuwa buddies.

Personally huwa sioni sababu ya kudanganya kwani nachukulia hiyo ni kujidanganya, bora nisikuambie chochote kuliko kukudanganya!
 
Reactions: Mbu
Hehehe! This is getting juicier! Hapo sasa moskwito, unaingia jumamosi kwenye gari ya memsahib unasema nikalete maini ya bfast. Unakuta sick sheet ya jumatano na ina ED siku 3, na mamaa hajaumwa wala nini na alikuwa anenda job daily!

Upoo? Ama unakuta email bahati mbaya, inasema wife anaumwa nampeleka hosp nitachelewa sana kuingia ofcn.

Aisee! Hapo sijui na ubingwa wako wa kubisha utabisha hadi mtaa gani!
 
Reactions: Mbu
hahahahaha Asprin kwa nini unasema sio wewe?
Kwa mantiki hiyo uongo unafaida na hasara zake.
Lakini ODM (sio wewe) lengo lako lilitimia.
 
Last edited by a moderator:
Wacha sasa nisepe:clap2:
 

Babu, nimeamua kuignore hizo za kwenye mabano; God forbid suppose unimaginable ingetokea. I am sure 'siyo wewe tafazali' ingekutake to the grave yaani ungejilaumu mpaka siku ya kufa kwako.

But ofcourse huwezi kumuaga bibi kuwa unaenda kwa nyumba ndogo.
 
Ww unaonekana husemagi uongo, hii topic haikuhusu. Nenda kule kwenye jukwaa lako Rejao anakutafuta, inasemekana Mwita25 ame-RIP
Naombeni samare.........

Halafu mmoja wenu aniambie kama kuna jipya linaloongelewa hapa.:whistle:
 

Stuka hommie Asprin, siku hizi wanajua hadi bingwa wa UEFA bado ni Liverpool......
Wanajua ila wanakubali uwadanganye tu..... King'asti kasema yeye anatabasmu tu.....stuka!
 
Last edited by a moderator:
Hapa mada kubwa ni kudanganya faida na hasara zake.
Hapana............mada ni kwa nini unadanganya na unayemdanganya anajua unamdanganya.

Ukweli unauma, na nikijua moyo utauma............nidanganye danganye tuuu!!!!
:whistle:
 
hahahahaha Asprin kwa nini unasema sio wewe?
Kwa mantiki hiyo uongo unafaida na hasara zake.
Lakini ODM (sio wewe) lengo lako lilitimia.
Kwa kuwa sikuwa mimi (tafazali)

Asee biya za uongo ni tamu sana.....namnukuu Asprin hapo
Yaani bibie anajua naangalia soka na RR kumbe mie napiga Guinness na bi Joy.

Vigezo na masharti ya mabano vizingatiwe tafazali. Angalizo: ODM hana nyumba ndogo bali anadumisha mila na mabinti wenye kiu.
 
Last edited by a moderator:
Stuka hommie Asprin, siku hizi wanajua hadi bingwa wa UEFA bado ni Liverpool......
Wanajua ila wanakubali uwadanganye tu..... King'asti kasema yeye anatabasmu tu.....stuka!
Aisee..... kumbe ukipiga fix afu wakatabasamu wanakuwa wanajua umewafix ila wanakuwa hawana jinsi... ngastuka!!

AU kwa kuwa wanajua hata wakijua unawafix hawana jeuri ya kukuzuia lol
 
Kumbuka kitu kimoja tu ukiwa mwongo/kudanganya pia usiwe unasahau hovyo maana itakucost.
 
Lol! Manake sie ndo hatujui kudanganya? Unapewa miadi ngoja kwanza, kuna issues nahitaji kuweka vizuri. Tujuane uzuri (kama kuna dalili ya ghorofa si ntaona walau mchanga unamwagwa ama tofali elfu kumi? Tuna akili zetu timamu usije ukadhani tunadanganyika, ebooo!ukiona umetoa hela bandia ikapokelewa ujue cheni ni bandia hehehehe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…