Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Nitarudi kujua kinachosemwa na Babu DC!
Wewe Eiyer mbona unakimbia mjadala?
Uliza kwanza ili tukupe ma uzoefu yetu!!
Na kama huamini, basi siku ukienda mahakamani kama mshitakiwa na hakimu akakuuliza hivi, eti nikweli Eiyer umeiba...wewe jibu hiv, NDIYO MUHESHIMIWA NIMEIBA...Halafu baada ya hapo uje utupe feedback!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: