Kudanganya......

Nitarudi kujua kinachosemwa na Babu DC!


Wewe Eiyer mbona unakimbia mjadala?

Uliza kwanza ili tukupe ma uzoefu yetu!!

Na kama huamini, basi siku ukienda mahakamani kama mshitakiwa na hakimu akakuuliza hivi, eti nikweli Eiyer umeiba...wewe jibu hiv, NDIYO MUHESHIMIWA NIMEIBA...Halafu baada ya hapo uje utupe feedback!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Babu DC bwana
Kuna ile danganya ambayo lazima udanganye kwa kuwa umeulizwa but kutokusema kila kitu inaweza kuwa rahisi klama hujaulizwa. But ukiulizwa ni lazima ujibu bana
 
Babu DC bwana
Kuna ile danganya ambayo lazima udanganye kwa kuwa umeulizwa but kutokusema kila kitu inaweza kuwa rahisi klama hujaulizwa. But ukiulizwa ni lazima ujibu bana


Hahahahahahahahahahha,

Yaani una manaa hapa utamwaga tu data...

Mkuu wa kaya (MK): Soulmate ulikuwa unaongea na nani mbona simu ilikuwa busy muda mrefu?
MJ1: Ni yule ex BF wangu wa USA. Kanipigia
MK: Anasemaje?
MJ1: Eti amenimiss sana...halafu anasema kuwa duuuu enzi zile tulitesa sana. Amenikumbusha jinsi tulivyoenda kujirusha Zanzibar baada ya kupewa zawadi ya birthday yake!...Yaani nimefurahi sana kwa kuwa tulikuwa hatujaongea muda mrefu!!
MK: Ok, msalimie sana.
MJ1: Poa soulmate, amesema atapiga tena J2!

.....

Babu DC!!
 

Hahahahhaahaha Babu DC kwanza I do not entertain Exes! Pili ikitokea amenipigia definitely mazungumzo hayatokuwa ya aina hiyo, ni short and clear then hata kabla hajauliza nitakuwa nshajishtaki mwenyewe (na nlivyo mmbeya dah! yaani mdomo utakuwa wancheza hata kabla simu haijakatwa aisee)
 


Unaona sasa unavyojiingiza mwenyewe?

Hebu muulize mzee mwenzangu Asprin akukatia wasia kidogo!!

Kuna wanaume ambao kitendo cha kujishitaki ni sawa na suicide bombing!

Hii michezo nyie ione hivi hivi....Hakuna refa wala mchezaji anayeweza kujidai kuwa ni star!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Uongo una gharama, kwa watu wenye RAM ndogo na ubongo wa Mb 3 haufai!


Hapa hatuongelei uongo wa kuandika kitabu kizima au ripoti kama za kamati za Bunge. Tunaongelea ule uongo unaoepusha shari na kuleta heri.

katika mfano wangu kwa MJ1 hapo juu (post #123), unadhani angepewa jibu kuwa nilikuwa naongea na mama angesemaje?

Babu DC!!
 

Hahahaha Babu DC umesema kweli uzuri ni mwelewa so most of the time ...Umbeya... wangu huwa haucost sana haha (Sijui najifariji tu!!)

Bahati mbaya Soulmate, browser yake imecrash I just wish angekuja afunguke hapa lol!
 
Hahahaha Babu DC umesema kweli uzuri ni mwelewa so most of the time ...Umbeya... wangu huwa haucost sana haha (Sijui najifariji tu!!)

Bahati mbaya Soulmate, browser yake imecrash I just wish angekuja afunguke hapa lol!

Umeona enhhhhhhhhhhhhheeeeeeee,

Hili game ni hovyo kabisa....utadhani wachezaji wote vichaa!

Mie nidanganywe tu kwani sihitaji kujua vitu ambavyo havina tija!!

Babu DC!!
 
Mwenyewe anauliza uongo na kudanganya mapenzini hakuepukiki? .... na ni wakati gani haifai kudanganyana na kusema uwongo?
 
Reactions: Mbu
Hii mbaya sana........ Ila ulivyoiongea ni lazima kuna kichomi cha kweli moyoni tena chanzo ki karibu
 
Mwenyewe anauliza uongo na kudanganya mapenzini hakuepukiki? .... na ni wakati gani haifai kudanganyana na kusema uwongo?


Sasa tujibu mara ngapi dada?

Uongo ni muhimu sana pale ambapo utakusaidia kuepusha shari, kuleta heri na kuongeza dakika za kuishi hapa kwa duniani kwenu nyote!!

Umeelewa mjukuu wangu?

Babu DC!!
 
Reactions: Mbu
.....enhe, swahiba Dark City....kwanza habari za huko?

Ehh, umegusia suala la kudanganya 'live' ili kuepusha shari....nawe umejikubalisha.

Je? Huna haja ya kuthibitisha ukweli uujuao na unaouamini kwa uongo unaoambiwa dhahiri? E bana ee....am lost hapo.
 
Sasa tujibu mara ngapi dada?

Uongo ni muhimu sana pale ambapo utakusaidia kuepusha shari, kuleta heri na kuongeza dakika za kuishi hapa kwa duniani kwenu nyote!!

Umeelewa mjukuu wangu?

Babu DC!!

Majuzi umeona mwenyewe soulmate 'kanifumania' live kitandani kwetu...

Mwenyewe nilimtarajia arudi jumatatu, kumbe semina ilikatwa ruzuku, j'2 alfajr huyo....hodi mpaka chumbani.

Nimemwomba msamaha na samahani zote, kwani ningejua atarudi mapema, nisingemleta yule binti (aliyening'ang'ania aje kuona tunapoishi).... utetezi wangu unauonaje hapo?
 

Nitahangaika kuthibisha kama jambo lenyewe lina tija....

Babu DC!!!
 
Reactions: Mbu

Swahiba.... Sijui kwanini tunafanan kwenye hizi kitu!!!

Mnhhhh, labda nianzie hapo wakati najipanga....

Kudanganya ni aina ya psychosis ambayo inahitaji dawa, bahati nzuri, waongo wengi wanaonyesha kama vile ambavyo mental cases nyingine zinaonyesha, kuna macho, na body language ambazo hutoa facts, ndio maana hata lie detector hufanya kazi kirahisi
 
Reactions: Mbu

Huu mfano unauotoa kaka uko nje kabisa ya mtazamo wa uongo tuonauongelea..

Kama umeshakamatwa live, unadhani bado utakuwa na nafasi ya kudanganya?

Ukifumaniwa pants down basi tulia kama vile unanyolewa, na kisha utegemee huruma ya yule uliyekuwa unamwita soulmate wako!!

Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…