Kudate watu wenye majina yanaofanana

Kudate watu wenye majina yanaofanana

Abang

Member
Joined
May 8, 2020
Posts
27
Reaction score
32
Naamini katika pita pita zako imewahi kukutokea umepata me/ke mwenye jina la kufanana na ex wako huko mwanzo..huwa unachukuliaje hilo suala?

Kuna jamaa angu mmoja amekutana amedate na ke wenye majina ya Fatma,Eva, Pendo na Neema.. Wewe kwa upande wako umekutana na akina nani?
 
Hata jambo la kawaida la kudate unasingizia jamaa yako
1. Alikuwa amechoka kishenzi
2.Alikuwa amevimba Juu lakini chini ni kama Mjusi
3.Alikuwa kavaa wigi na vikuu miguuni na miwani mikubwa utadhani alikuwa amekuja kutazama kupatwa kwa jua.
4. Alikuwa na Mtindi mkubwa kupita kiasi
5.Yaani nilivyomuona tu kwa macho ni hakika alikuwa ameungua.
 
1. Alikuwa amechoka kishenzi
2.Alikuwa amevimba Juu lakini chini ni kama Mjusi
3.Alikuwa kavaa wigi na vikuu miguuni na miwani mikubwa utadhani alikuwa amekuja kutazama kupatwa kwa jua.
4. Alikuwa na Mtindi mkubwa kupita kiasi
5.Yaani nilivyomuona tu kwa macho ni hakika alikuwa ameungua.
😂😂😂😂 nani tena huyo
 
1. Alikuwa amechoka kishenzi
2.Alikuwa amevimba Juu lakini chini ni kama Mjusi
3.Alikuwa kavaa wigi na vikuu miguuni na miwani mikubwa utadhani alikuwa amekuja kutazama kupatwa kwa jua.
4. Alikuwa na Mtindi mkubwa kupita kiasi
5.Yaani nilivyomuona tu kwa macho ni hakika alikuwa ameungua.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
1. Alikuwa amechoka kishenzi
2.Alikuwa amevimba Juu lakini chini ni kama Mjusi
3.Alikuwa kavaa wigi na vikuu miguuni na miwani mikubwa utadhani alikuwa amekuja kutazama kupatwa kwa jua.
4. Alikuwa na Mtindi mkubwa kupita kiasi
5.Yaani nilivyomuona tu kwa macho ni hakika alikuwa ameungua.
Nani huyo😂😂😂
 
Back
Top Bottom