Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Ni counter attack kali ya Lissu ...kosa la kiufundi la tumu pinzani linamfanya Lissu kuchanja bunga kuelekea golini kwa timu pinzani!!

Ohoooo, beki wa mwisho kashaachwa...kipa na yeye katoka...wacha tuoneee....Lissu anakokota mpira kwa kasi ya ajabu..!! Lissuuuuuuu anakwendaaaaaa!!
 
Ni counter attack kali ya Lissu ...kosa la kiufundi la tumu pinzani linamfanya Lissu kuchanja bunga kuelekea golini kwa timu pinzani!!

Ohoooo, beki wa mwisho kashaachwa...kipa na yeye katoka...wacha tuoneee....Lissu anakokota mpira kwa kasi ya ajabu..!! Lissuuuuuuu anakwendaaaaaa!!
Hakuwapa hata nafasi ya kuomba maji
 
Siku hizi.. umezidi uongo wa kutunga.. vipi!!! Ni kama wamekusahau.. umebaki kushindwa kubadilika kiwazi humu.. kwani media hawawapi.. chenji chenji tena?..😃😃😃
 
Ww wakala wa shetani utaomba poo tu magufuli ni malaika ameshushwa kutoka mbinguni ukimdhihaki unapigwa mapigo makali na utalaaniwA tunamhitaji kwa miaka 20+
Aiseeeeh KUNA LAANA KALI YAJA JUU YENU....HIYO SIKU HAIPO MBALI
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana.

DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil. 2 unusu, sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa CCM ni milioni 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa.

Mwisho wa CCM bila shaka yoyote umefika rasmi.

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM
Mkuu wanahitajika wadhamini kiasi gan
 
Chadema tunaposema mnakwama sehemu maana yake ni kuwa elimu zenu ni duni ,hamjui katiba ina nini na ina taka nini,someni katiba ili muache kuhoji mambo ya kitoto

Kilichofanywa na magufuli ni moja ya matakwa ya kikatiba kwa presidential candindate
 
Back
Top Bottom