Ha ha ha!!Mbona unahangaika mzee shida nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha!!Mbona unahangaika mzee shida nini?
Hakuwapa hata nafasi ya kuomba majiNi counter attack kali ya Lissu ...kosa la kiufundi la tumu pinzani linamfanya Lissu kuchanja bunga kuelekea golini kwa timu pinzani!!
Ohoooo, beki wa mwisho kashaachwa...kipa na yeye katoka...wacha tuoneee....Lissu anakokota mpira kwa kasi ya ajabu..!! Lissuuuuuuu anakwendaaaaaa!!
Aiseee !!Kura za ccm pamoja na kuiba ni chini ya mil 4.
Aiseeeeh KUNA LAANA KALI YAJA JUU YENU....HIYO SIKU HAIPO MBALIWw wakala wa shetani utaomba poo tu magufuli ni malaika ameshushwa kutoka mbinguni ukimdhihaki unapigwa mapigo makali na utalaaniwA tunamhitaji kwa miaka 20+
TATIZO LINAONEKANA JAMAA WEWE HUJAELEWA MAANA YA UDHAMINI,HEBU KWANZA TUANZIE HAPO,HIVI UNAPOSIKI NENO WADHAMINI MIA MBILI KILA MKOA UNAELEWA NINI ?
Mkuu wanahitajika wadhamini kiasi ganKama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana.
DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil. 2 unusu, sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa CCM ni milioni 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa.
Mwisho wa CCM bila shaka yoyote umefika rasmi.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM
HaijalishiMkuu wanahitajika wadhamini kiasi gan
Sawa mkuuHaijalishi