saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia ucheze. we hakuna unachojua umeshindwa shule una ghadabu na wasomi haikusaidii. Nenda kasome uone km ni empty set. Utakufa na huo ujinga wako wenzio wakitumikia nchi yao ktk taaluma mbalimbali. we ni lijitu lililojikatia tamaa.Ni ujinga tu hizo za kusoma na kuandika hadi leo maandiko yao hayajaleta badiliko la maisha kwa jamii. Ni hovyo kabisa. Tuna ma PhD holder wengi lkn ni empty set.
Bora hata wanaopewa kwa kutambulia mchango wao kwa jamii
Inasikitisha sana kwamba Dunia unayoishi unaweza kusema hivyo. Ndio maana tunapata matatizo.Sijui unaishi dunia ipi maana uko mbali sana na uhalisia
Dr Slaa ni mfano mzuri wa Doctorate.Mkuu tumepata nini kutoka kwenye hizo PhD za hao waliosoma zaidi ya majisufu na ujivuni usio na tija?
Wewe kama siyo Babu Tale basi wewe ni AboodPhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Una bahati mbaya, inawezekana hujui tofauti ya hizi PhD unazosema. Iko sababu ya wewe kufuatilia ujue tofauti. Unaona ziko sawa kwa sababu hauheshimu shule, hujui maana ya shule.PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Hapa mtoa mada hujaelewa. Ni kweli zipo Phd za darasani na hizi ndio zinatambuliwa mradi zimetolewa na chuo kikuu kinachotambuliwa. Hizi ndio unaambiwa wahitimu wake ndio wanaweza kujiita Dr fulani bin fulani.PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Sasa tatizo liko kwa nani-kwa Tale au chuo kilichompa?Hapa mtoa mada hujaelewa. Ni kweli zipo Phd za darasani na hizi ndio zinatambuliwa mradi zimetolewa na chuo kikuu kinachotambuliwa. Hizi ndio unaambiwa wahitimu wake ndio wanaweza kujiita Dr fulani bin fulani.
Taratibu za Phd za heshima 'causa honaria' huwezi kujiita Dr fulani bin fulani. Ila ukiandika jina lako ukipenda inakua hivi kwa mfano, Mr Fulani bin Pacheco PhD hons.
Kwa kawaida PhD za heshima kama zilivyo za kuandika thesis hutolewa na vyuo vikuu.
Sasa shida iko hapa, kuna matapeli wanaanzisha vyuo feki au mamlaka fulani huko ng'ambo wanajiandikisha kama chuo kwenye mitandao. Ukitafuta ithibati ya chuo utakuta ni utapeli. Hawa wanakuambia wanakupa PhD ya heshima. Watakufuata wenyewe kukuvisha joho na kukupa hiyo tuzo. Wataandaa shughuli kwenye hoteli au mahali popote wanaona panafaa. Cha msingi unalipia hela. Inaweza kua usd 2000 hadi 3000 hivi. Wakitangaza hiyo biashara watakueleza upeleke wasifu wako. Ndio utakuta kina taletale hamisi eti wamepromote muziki tanzania. Elimu yenyewe darasa la saba. Wengine wanaweza kua kina mzee mrema RIP, wabunge abood, msukuma etc etc.
Halafu kuna PhD wanapeana viongozi wa dini ya kikristo. Kila madhehebu ina vyuo vyake. Hawa nao kwa taratibu zao wanatumia tittle ya Dr lakini vyuo vyao na mfumo wa vyuo vikuu vya masomo ya kawaida vinatofautiana. Unaweza kumsikia mchungaji Dr so and so akizungumza hoja fulani kama wewe ni msomi unaweza kushangaa kama kweli huyu ni PhD holder.
Umenena MkuuDegree za heshima kwa wasio na heshima ni tusi kwa utu.
Umethibitishaje kwamba wamenunua,kwa nini husemi za SSH amenunua??Kinachokatazwa ni degree za kununua kama za babu Tale, Musukuma,Abood nk.
Mleta mada kwanza unatakiwa kujua ni nani anayepewa PHD ili sasa ufananishe na PHD nyingine zile za kukaa darasani,sasa hapo hatujui Hv hz PHD maraisi wanaziomba au wale wanaojipendekeza ndio wanao wapa.Tujue kuna siku udokta na uprofesa hauta kuwa na maana kabisa kwenye tasnia ya Elimu.PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu. Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
MKASOME ACHENI KUNUNUA PHD.ZINAPATIKANA KWA KUSOMA KUTUMIA AKILIPhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu. Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Niliwahi kupewa ila kile cheti nilikiacha hapohapo mezani.PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.
Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.
Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu. Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.
Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.
Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.