spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Wiki hii kuna vibaka wameiba sana ng'ombe na mbuzi nahisi mambo ya sikukuu, hebu tushauriane ni njia zipi unaweza kutumia kudhibiti wizi mabandani, na kama una experience yoyote pls iweke tuelimike wote.
Last wk kuna mdau wa kilimo aliniacha hoi aliponiambia hapo kabla walimuibia sana mazao yake,alitumia kila mbinu aliyoweza hakufanikiwa, alichofanya ni kuweka pembe za ng'ombe kuzunguka shamba lake la hekari kumi akazivalisha kitambaa chekundu, hapa ni mwaka wa pili sasa vibaka hawajakanyaga tena shambani kwake hahahah..., watu wana vijimbinu sana...
Nawasilisha
Last wk kuna mdau wa kilimo aliniacha hoi aliponiambia hapo kabla walimuibia sana mazao yake,alitumia kila mbinu aliyoweza hakufanikiwa, alichofanya ni kuweka pembe za ng'ombe kuzunguka shamba lake la hekari kumi akazivalisha kitambaa chekundu, hapa ni mwaka wa pili sasa vibaka hawajakanyaga tena shambani kwake hahahah..., watu wana vijimbinu sana...
Nawasilisha