Kudhibiti wizi mabandani (kuku, ng'ombe, mbuzi nk)

Kudhibiti wizi mabandani (kuku, ng'ombe, mbuzi nk)

Kifaa hichi kina mdetect binadamu au mnyama akisogea ndani ya mita 5 kutoka banda lilipo,kinawasha taa na kupiga kelele akizunguka zunguka eneo LA banda
Mi natafuta cha kudetect binadamu tu, sijui kama kinapatikana,
 
Nyumba iwe na ua imara. Fuga mbwa, umtengenezee banda na mchana asitoke. Mtunze vizuri. Mlishe mara moja saa 4 usiku. Akibweka usiku, amka, sio mlinzi, ni mtoa taarifa.
Nilitaka kumwambia kama ulivyomshauri. Kwa kuongeza pia fuga mbwa kama mradi na wakizaa uwe unauza watoto nunua Germany Sherpherd utakuwa unaingiza hela huku unalindwa kama mfalme
 
Vipo tele
Mkuu acha uongo infrared haiwezi ku detect binadamu tu....

Vifaa vya motion detector vingi hufanya kazi pale unapo block path yake au kuna vingine hufanya kazi kwa body temperature (hii ni ngumu)...

Sasa hicho kifaa cha kum detect binadamu kikaacha mbuzi ni kipi?
Washauri tu wajenge uzio na kuweka motion detector nje ya uzio maana ukiweka ndani mbuzi zikipita kila saa ni ving'ora....

Wasalaam wote.
 
Mkuu acha uongo infrared haiwezi ku detect binadamu tu....

Vifaa vya motion detector vingi hufanya kazi pale unapo block path yake au kuna vingine hufanya kazi kwa body temperature (hii ni ngumu)...

Sasa hicho kifaa cha kum detect binadamu kikaacha mbuzi ni kipi?
Washauri tu wajenge uzio na kuweka motion detector nje ya uzio maana ukiweka ndani mbuzi zikipita kila saa ni ving'ora....

Wasalaam wote.
Huelewi unacho bisha,aliyekwambia vina detect binadamu pekee ni nani?,acha kushoboka
 
Mbinu ya jamaa kuweka pembe imenikumbusha tukio moja.
Mwezi wa sita 2017 nikiwa na dingi mdogo yeye ndo alikwa anaendesha gari tulikamatwa na trafiki Gongo la Mboto mwisho, gari ilikuwa na makosa kibao tukapaki pembeni kabisa kwenye vumbi. Trafiki akamuandikia dingi, basi wakati anaondoka dingi akazoa mchanga pale aliposimama trafiki na kuuweka mfukoni. Da! Trafiki akarudi fasta akamuomba dingi wazungumze yaishe akamrudishia fedha. Baadae namuuliza dingi ndo nini vile anasema ulikuwa mkwala tu.
Hahahahahahaha
 
Nilitaka kumwambia kama ulivyomshauri. Kwa kuongeza pia fuga mbwa kama mradi na wakizaa uwe unauza watoto nunua Germany Sherpherd utakuwa unaingiza hela huku unalindwa kama mfalme
Hao mbwa hatari sana tena ni wakatili kuliko Waarabu
 
Back
Top Bottom