mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Umeharibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo teleMi natafuta cha kudetect binadamu tu, sijui kama kinapatikana,
Ngoja nikutumie picha ya hicho kifaa,Maelezo yake ninacho nyumbani hapaTuelekeze basi wajameni
Ntumie namba ya whassup nikurushie video inavyofanya kaziTuelekeze basi wajameni
Tushirikishane MkuuNgoja nikutumie picha ya hicho kifaa,Maelezo yake ninacho nyumbani hapa
Nilitaka kumwambia kama ulivyomshauri. Kwa kuongeza pia fuga mbwa kama mradi na wakizaa uwe unauza watoto nunua Germany Sherpherd utakuwa unaingiza hela huku unalindwa kama mfalmeNyumba iwe na ua imara. Fuga mbwa, umtengenezee banda na mchana asitoke. Mtunze vizuri. Mlishe mara moja saa 4 usiku. Akibweka usiku, amka, sio mlinzi, ni mtoa taarifa.
Kinafanyaje kazi?Wizi WA kwenye mabanda unadhibitiwa na kifaa kinaitwa infrared motion sensor
Mkuu acha uongo infrared haiwezi ku detect binadamu tu....Vipo tele
Huelewi unacho bisha,aliyekwambia vina detect binadamu pekee ni nani?,acha kushobokaMkuu acha uongo infrared haiwezi ku detect binadamu tu....
Vifaa vya motion detector vingi hufanya kazi pale unapo block path yake au kuna vingine hufanya kazi kwa body temperature (hii ni ngumu)...
Sasa hicho kifaa cha kum detect binadamu kikaacha mbuzi ni kipi?
Washauri tu wajenge uzio na kuweka motion detector nje ya uzio maana ukiweka ndani mbuzi zikipita kila saa ni ving'ora....
Wasalaam wote.
We ndio huelewi ulichojibu.Huelewi unacho bisha,aliyekwambia vina detect binadamu pekee ni nani?,acha kushoboka
Vipo tele
Mi natafuta cha kudetect binadamu tu, sijui kama kinapatikana,
HahahahahahahaMbinu ya jamaa kuweka pembe imenikumbusha tukio moja.
Mwezi wa sita 2017 nikiwa na dingi mdogo yeye ndo alikwa anaendesha gari tulikamatwa na trafiki Gongo la Mboto mwisho, gari ilikuwa na makosa kibao tukapaki pembeni kabisa kwenye vumbi. Trafiki akamuandikia dingi, basi wakati anaondoka dingi akazoa mchanga pale aliposimama trafiki na kuuweka mfukoni. Da! Trafiki akarudi fasta akamuomba dingi wazungumze yaishe akamrudishia fedha. Baadae namuuliza dingi ndo nini vile anasema ulikuwa mkwala tu.
Hao mbwa hatari sana tena ni wakatili kuliko WaarabuNilitaka kumwambia kama ulivyomshauri. Kwa kuongeza pia fuga mbwa kama mradi na wakizaa uwe unauza watoto nunua Germany Sherpherd utakuwa unaingiza hela huku unalindwa kama mfalme
Kweli kabisaHao mbwa hatari sana tena ni wakatili kuliko Waarabu