Hivi mbowe na sugu si mnasemaga ni mabilionaire ? huo ubilionea wameupata toka kenyr siyo?Ccm na wasomi wameisaidia nini nchi huku inanuka umaskini kila kona baada ya miaka 60+ ya uhuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mbowe na sugu si mnasemaga ni mabilionaire ? huo ubilionea wameupata toka kenyr siyo?Ccm na wasomi wameisaidia nini nchi huku inanuka umaskini kila kona baada ya miaka 60+ ya uhuru
Waomi wapo wengi sana, jumlisha wahitimu wa vyuo vikuu wote waliomaliza vyuo bila ajira, wapo mtaani wana asira na ccm hii, yaan jiulize kwa nini mijini ccm inapata tabu sana kuiba kura.Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sema kumewadhoofisha watanzania,nadhani kati ya hao uliowataja,hakuna anayekula ugali na bamia.Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.
Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.
Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
😂😂😂Sema kumewadhoofisha watanzania,nadhani kati ya hao uliowataja,hakuna anayekula ugali na bamia.
mfano mzuri ni kafulila,alifikia pahala akaitwa ngedere.
Toka amejiunga na keki ya taifa ni mwendo wa masifu, tusubiri mbowe lisu na wengine wajiunge kama vyombo
vya dola muone tunavyolimia meno.
Mbowe, Lisu ni tatizo CDMMi nadhani kuna Tatizo kubwa CDM