hahahahahhaha, hata choo cha Makoroboi na pale Stendi ya Tanganyika wanatoa risiti hahahahaha
Sio [emoji115] mkuu uliyodondosha...[emoji1] [emoji1] [emoji1]
-Silasc-
Au stakabadhi kwa lugha ya kiswahiliRisiti bana sio list! Nimejaribu kujenga picha ya unachokiongelea hadi mwisho ndo nakuelewa, wewe mkurya nini..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] hakuna kupoteza pato la serikali kwa sasa.hahahahahhaha, hata choo cha Makoroboi na pale Stendi ya Tanganyika wanatoa risiti hahahahaha
Lakini naona kama Moshi inapoteza usafi wake wa zamani, sijui ni wageni wengi au wenyeji nao wameanza 'uswahili'. Moshi ya sasa si kama ya zamani kwa usafiHata ukija Manispaa ya Moshi uwe makini sana Cendy huku faini ni elfu 50!
Moshi hata ukitupa ganda la vocha, makohozi au uchafu mwingine hata kukojoa njiani unakamatwa!
Sheria imepungua makali kumbe! Labda inategemea na baraza la madiwani na mkurugenzi wao wanavyofuatilia usafi huoLakini naona kama Moshi inapoteza usafi wake wa zamani, sijui ni wageni wengi au wenyeji nao wameanza 'uswahili'. Moshi ya sasa si kama ya zamani kwa usafi
Wakuu niliona hii miatatu ya list isinipe shida daa kumbe naenda kwenye shida jomoniHata ukija Manispaa ya Moshi uwe makini sana Cendy huku faini ni elfu 50!
Moshi hata ukitupa ganda la vocha, makohozi au uchafu mwingine hata kukojoa njiani unakamatwa!
list = risiti/receiptlist
jomoni
aliyeelewa haya maneno naomba msaada wa tafsiri.
Kifo cha JF-Home of GTlist
jomoni
aliyeelewa haya maneno naomba msaada wa tafsiri.