Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Ndio mlivyo mkibanwa humu mnakimbilia kusema hayo maneno ktk red
Swali dogo kwa Pasco; hivi chadema ingekuwa haifati mawazo na ushauri ingefika hapa ilipo?

Viongozi wa chadema hawafati mawazo mfu kama haya ya kwako Pasco na ingekuwa vyema ungekishauri chama chako kiwavue magamba wale waliogoma kujivua wenyewe japo siku 90 zilishapita.
Mkuu nsanu, asante kwa taarifa, mawazo mfu mahala pa stahiki yake ni "kaburini" maadam game la 2015 ni lile la "do or die", basi baada ya uchaguzi wa 2015, whoever atakaye kufa, ndio atakutana na ushaiuri huu kaburini!.

P.
 
  • Pre-1600: In the 11th century, the Arab Alhazan described the use and characteristics of glass lenses. Two hundred years later, the English natural philosopher Roger Bacon was familiar with lenses. Eyeglasses, however, were not invented until the late 1200s.
  • 1600s: In 1608 the telescope was invented, with Galileo improving upon it with his own models. Around 1600, the microscope was invented, possibly by Hans and Zacharias Jansen. Due to poor lens quality, the early compound microscopes (ones that used two lenses) could only magnify an object up to 20 or 30 times its normal size.
Source: A Short History of the Microscope

Soma na hapa: Muslim Inventions « Knowing the Truth: Gateway to Knowledge

Waliokwambia Galileo Kavumbuwa telescope wamekuzuga kama waliokuzuga Kilwa imevumbuliwa na Vasco Da Gama.



CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it
Mkuu zomba hizi habari zinapotosha mada na ni rahisi sana kuingia katiki udini.Kwa hali kubwa hizi ni propaganda:
Labda kukurahisishiwa mambo na tuishie hapo:

-Ni kueleze tuu wachina tangu karne ya 5 kabla ya Yesu Kristu walishaanza kuelezea principle zinazoendana na pinhole camera.

-Ibn al-Haitham-anaweza kuwa ni mtu wa kwanza kugundua kuwa mwanga unaingia ktk jicho.Hiyo ni nortable thing ila haitoshi.

-Giovanni Battista della Porta (1538 – 1615 kutoka Naples alikuwa mtu wa kwanza kutengeneza pinhole camera.

-Gallilei anabaki kuwa inventor wa microscope kama microscope,baada ya utafiti tofauti.
 
Mkuu Luka, kuhusu uwezo wa EL, ujajulikana wazi, na huma ndani, nimeshapandisha threads zaidi ya kumi kumuelezea EL, hii sio thread ya uwezo wa EL, hii ni thread ya Chadema to do things right, waingie Ikulu 2015!. Kama bado una nia ya kuujua uwezo wa EL na nguvu aliyonayo ndani ya CCM na nje ya CCM, tembelea Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa, Then
Hii pia sio thread ya utayari wa Chedema kuongoza nchi, hii ni thread ya uongozi wa Chadema, "kusikiliza, kutenda na kubadilika" kuhusu "mambo flan" ya ndani, ndipo tuwakabidhi Ikulu, ila pia kama una interest ya kuujua utayari wa Chadema kuongoza nchi, tembelea hapa CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
Ukitembelea huko, ujibu huko huko, ili ya hapa ndio tuyajibu hapa!.

Pasco.

Pasco unasema "nimeshapandisha" ila hizo zimepandishwa na Mchambuzi, sasa napata picture kuwa ni kitu kimoja kama nilivyokuwa nahisi.
 
1. Preamble yako ni fedheha kwa kila mtu si CDM itayochukua nchi bali ni kwa wapiga kura watakaokabidhi nchi kwa chama cha mabadiliko

2. Neno "______ kwa kishindo" ni kauli mufilisi inatokana na nguvu ya ziada inayotumika kwenye kuhalalisha matokeo ya kura knyume cha wapiga kura na wala si hiari ya wapiga kura.

Kwenye mazingira, upepo unazuiliwa na upandaji miti. Kipindi tulicho nacho chama tawala kinaweza kupanda miti kuzuia upepo. Kinachotakiwa ni dhamira ambayo HAWANA kwa hiyo upo sahihi.

Ila "!... Only If...!"!; iwapo..." haya maneno haya "uswi". Kumbuka unapopanda mahindi mbegu inaoza halafu inachipua hakuna suala la "iwapo". Na mabadiriko haya yapo uje upepo, mvua, jua; SUALA kama ulivyoliweka ni kuchokwa chama tawala na dhamira zake mufilisi. Sitegemei chama kitakachochukua nchi kifanye miujiza. Nategemea kitakuwa na changamoo nyingi ila kitakuwa na mikakati shirikidhi, ya ukweli na yenye dhamira safi.
Mkuu Wewe Baba,

  1. uchaguzi ni process ambapo wenye nchi, (watu) wanamchagua wa kumkabidhi nchi yao, sasa yule anayetangazwa mshindi, ndiye anayechukua nchi, hivyo hili la kuchukua nchi, niko sahihi, na hata ningekubaliana na hoja yako ya wapiga kura kukabidhi nchi, hepu nitajia kitendo anachoikifanya huyo anayekabidhiwa kinaitwaje?, makabidhiano ni kupokea, ukishapokea then.. kuchukua!.
  2. Ushindi wa kishindo, ni ushindi mnene usio na mawaa!. pia hapa niko right!.
  3. Hili la upepo nimelizungumza, akasimama yule kamanda wangu, Ikulu you better just forget it!.
  4. Hiyo ya kutegemea kuchokwa chama tawala mpaka sasa ndio mtaji wa Chadema, it needs to do more to reap kura sio tuu za hao waliochoka CCM, bali to give solid reasons za kuwapangisha ikulu yetu!.
  5. Hilo la kutokuwa na miujiza na changamoto nyingi, nakubaliana na wewe!.

P.
 
Pasco unasema "nimeshapandisha" ila hizo zimepandishwa na Mchambuzi, sasa napata picture kuwa ni kitu kimoja kama nilivyokuwa nahisi.
Mkuu Nicholas, usitake kunipasua bichwa kwa misifa!, unataka kunifananisha na Mkuu Mchambuzi!, for your info, huyo ni mmoja wa ma genius wachache tulionao humu jf, genius mwingine ni Nguruvi3, mimi hata katika list ya ma great thinkers sipo. Mimi niko kundi la simple mind ndio maana kutwa kucha nadiscuss watu, EL, ZZK, JK etc, ordinary mind wana discuss events, nini kimetokea wapi na ilikuwaje etc, na ma great thinkers, ndio hawa wanao discuss ideas!. Mchambuzi is a great thinker, ila humu jf, tunao wale ma great thinkers wetu wa kawaida tulio wazoea, ukiwalinganisha na Nguruvi3 na Mchambuzi!, wengi wao ni cha mtoto!.
 
Mkuu Pasco nakuunga mkono.Ni lazima wabadilike M4C pekee haitoshi.Kuna mikoa mingine hata ofisi hamna unategemea nn.Watu wa makao makuu hawafanyi kaz yao vizur hamna mawasiliano na viongoz wa mikoani.SHITAMBALA wakati anajiunga CCM alitamka kuhusiana na makao makuu kutofanya kaz na viongoz.

Ni juhudi tuu za kuaminisha watu vitu fulani ,halafu baadaye zilete kutojiaminini, na baadae hata matokeo watu waanze jipa sababu za kushindwa.Ila ni ngumu kwa wanachadema kuwa na mashaka.By the way mkandara keshaondoa "vimawazo vyake vidogo anavyoviita vikubwa" ahamie raiamwema.At least sasa atakuja na jina jipya ambalo atahitaji lijengea reputation upya.Sijui atachagua nani tena msomi aliye hai Tanzania.
 
Mkuu J Mushi, hiki ndicho nilichokisema, ili Chadema kilete Changes zinazotarajiwa, lazima kwanza chenyewe ki Change kwa kuwaambia Watanzania licha ya Change ya serikali kutoka serikali ya CCM kwenda serikali ya Chadema, wategemee Changes gani tofauti za zile ambazo CCM wameshindwa!. Hili la kusema Elimu Bure mpaka chuo kikuu, hospitali bure, na kuondoa umasikini, Chadema has to do "things right" na kwa wale ambao mmejiridhisha kuwa "Chadema is doing the right thing on the right way at the right time!" mkitegemea 2015 ni straight to Magogoni, "hope for the best!, but get prepared for the worst!".

Sasa hizo "things right" ambazo inabidi Chadema mbadilike, "imeshaonyeshwa", "imeshaambiawa", "mmeshaimbiwa", tena keke hizo sasa ni kama "hit single", kilichobaki ni Chadema to start "dancing to the tune", 2015 ndipo kweli atakuwa the new tenant wa ile nyumba nyeupe pale magogoni!.

Kwa vile mimi sio mwanachama, mshabiki, wala mfuasi wa Chadema, naombeni msiniulize mimi, ni "changes" gani hizo zinazotakiwa ziwe changed!, ninachosema kwenye thread hii ni Chadema isikie mwito wa changes na ikubali kubadilika!, thats all!. Kama imejiridhisha doing the right thing alone is enough, then keep on doing what you are doing the same way you do, and lets see the outcome of 2015!, ila please please please, "mkilizwa"!, "msilie"!

Pasco.

wakupe jibu la CHANGES ZIPI?Kwani wewe utawapigia kura?
 
Mkuu Mzee wa Rula, hiki ndicho ninachokipigania humu, Chadema kupitia M4C is doing a good job kuwafungua macho Watanzania kile ambacho CCM imeshindwa kukifanya, sasa ili kuingia madarakani kwa uhakika zaidi, Chadema haiwezi kutegemea kura za hisani za kuutegemea upepo wa kisiasa uvume on its favour, upepo huo wa kisiasa lazima uvumishwe on specific direction!, wapiga kura wapewe "reasons" ya kuichagua Chadema, besides sababu ya "CCM Haikufanya hiki na kile!", Chadema pia iseme itafanya nini and how, tofauti na CCM!. Hivyo sasa Chadema ndio atakuwa anaucontroll huo upepo na kuuelekeza uvumie upande gani!.

Pasco.
Nani kakuambia operations zote( sangara,M4C..) sio investment ya kuchukua wanachama na kura?unachekesha kweli mtu analima,anapalilia, akikaribia vuna unasema anasubiri mavuno ya upepo.Kweli hustahili ongea na mtu humu ndani.
 
Mkuu Mshikachuma, huu sasa unataka kutuletea ubaguzi!. Hoja ya msingi kususia baadhi ya post ni ile ya Mkuu J. Mushi kuwa kuna members humu wanaleta religious provocation ili kuwa provoke watu wa dini fulani. Huu utaratibu wa kunyoosheana vidole fulani na fulani wasijibiwe sasa ni ubaguzi, unless mnataka kujiaminisha hili jukwaa ni la watu wa chama fulani, ili sisi tusio na vyama tujifungashie virago vyetu na kuwaachia jukwaa lenu muendelee kuimbiana nyimbo za sifa na mapambio?!.

Tutadeal nao kwa busara.Bahati nzuri maandiko yatabaki humu ndani.kwanza Pasco hujaleta search results nilizokuambia.Ili kukuonyesha kuwa nia mbaya huleta mambo mabaya.

Pasco kwanini umeamua tumia jina la Kikristu ili kufikisha ujumbe?Huoni kuwa unajidhalilisha.Hata kama unadhani kuwa ID yako ibaki kuwa "disguising".Ila choice ya id,inasema nia behind.

Ukibaki katik set ya majina ya iman yako unapungua thamani?Fikiria hilo.
 
Mkuu Nicholas, usitake kunipasua bichwa kwa misifa, unataka kunifananisha na Mkuu Mchambuzi!, for your info, huyo ni mmoja wa ma genius wachache tulionao humu jf, genius mwingine ni Nguruvi3, mimi hata katika list ya ma great thinkers sipo. Mimi niko kundi la simple mind ndio maana kutwa kucha nadiscuss watu, EL, ZZK, JK etc, ordinary mind wana discuss events, nini kimetikea wapi na ikukuwaje etc, na ma great thinkers, ndio hawa wana discuss idears!. Mchambuzi is a great thinker, na sisi humu jf, tunao wale ma great thinkers wetu tulio wazoea, ukiwalinganisha na Nguruvi3 na Mchambuzi!, wengi ni cha mtoto!.

Sifa zipi sasa,mimi nisoma ulichoandika,au ulikuwa na haraka?sababu jana ulikuwa so busy in a rush.Sasa sijui kama ulikuwa na uamkini.Pengine ndio maana ukajisahau na kuonyesha id zako.Nashukuru kwa kutuongezea ID zako nyingine
 
Mkuu Mvaa Tai, mimi sio Chadema, viongozi wako wao wanajua mbadilike nini, na wao ndio wenye jukumu la kukushirikisha wewe, nilichofanya hapa ni kuwasisitiza tuu kuwa "Nyie Chadema, sikilizeni mnachoambiwa!, tekelezeni!, badilikeni ili muweze sio kuibadili CCM kwenye kutawala, bali kuibadili Tanzania as well!.

Wabadilike ya nini wakati walipopashikilia adui analia sana.Ukipuliza sumu uvunguni ukasikia kilio basi ujue kuna alise mwema humo.bahati mbaya CDm wana haki ya kufanya wafanyayo kama ilivyo kwa anayepuliza sumu ktk uvungu wa kitanda chake.By the way its funny kuwasikia CCM wakilia kilio hiki...loading..!
 
Mkuu Zomba, asante, nakumbuka hata Ustaadh Mohamed Said, alitueleza wakombozi halisi wa taifa hili dhidi ya wale waliotuzuga!.

P.

Sidhani kama ni rahisi hivyo.Kama hujamjua adui wa kweli huwezi shinda vita....."kuna enemy within pia"
 
Namba 9 nakukumbusha Mkuu uendelee kuichangia M4C ili iweze kutekeleza malengo yaliyopangwa.. Vinginevyo; Message Sent!.
Mkuu Deus, kama ni kuichagia, naingia sana tuu, kama ninavyoichangia jf, pia naichangia CCM bila kuisahau CUF, japo michango yangu sio kama ya Sabodo, yenyewe haiandikwi!.
 
Mkuu Mushi, asante kwa angalizo. Hata hivyo, kuna issue hapa: huyu jamaa (zomba) hayuko peke yake humu JF bali ni mob au syndicate fulani kwa ajili ya kuchafua hali ya hewa kadiri inavyowezekana. Hivyo, usishangae wakaanzisha thread wenyewe kwa ID tofauti tofauti huku wakiji-pretend pro-Chadema halafu humo humo ndani ya mob wakaanza kuutukana uislam ili kutimiza malengo yao ya kisiasa. Hii ni changamoto nyingine.

watakuwa wengi sana.ila michango itakuwepo sana tuu.watu watasoma sana tuu,na wataona sana mambo yanayojitokeza na kujua nini pumba nini ukweli.
 
Mkuu Nicholas, usitake kunipasua bichwa kwa misifa, unataka kunifananisha na Mkuu Mchambuzi!, for your info, huyo ni mmoja wa ma genius wachache tulionao humu jf, genius mwingine ni Nguruvi3, mimi hata katika list ya ma great thinkers sipo. Mimi niko kundi la simple mind ndio maana kutwa kucha nadiscuss watu, EL, ZZK, JK etc, ordinary mind wana discuss events, nini kimetikea wapi na ikukuwaje etc, na ma great thinkers, ndio hawa wana discuss idears!. Mchambuzi is a great thinker, na sisi humu jf, tunao wale ma great thinkers wetu tulio wazoea, ukiwalinganisha na Nguruvi3 na Mchambuzi!, wengi ni cha mtoto!.
Ahsante sana kaka kwa kuwakubali hao watu! Ila umesahau kumweka na yeye....acha niwaorodheshe hapa chini kidogo kwa faida ya watu wenginine.

-Mzee Mwanakijiji
-Nguruvi3
-Mkandara
-Nicholas
-Mchambuzi
-Kiranga
-Utaki unaacha
-FJM
-Pasco
-Mag3 au Mag...sijui kama nimepatia ilo jina.
- Jmunis1, Na wengine kama watatu hivi nimesahau ID name zao

Kiukweli ukianzisha mada hapa JF na ukakuta mmoja kati ya hao amecoment kwenye thread yako basi ujue hoja
yako inamashiko. Vinginevyo huwaoni ng'ooo. Utaki unaacha
 
Mimi ningependa neno MABADILIKO liwe na maana pana zaidi ya neno kubadili chama kilichopo madarakani na kuleta chama kipya. Watanzania wanataka neno MABADILIKO litoe majibu mbadala ya baadhi ya maswali kama: -

  1. Je MABADILIKO yatafanya nini katika kuboresha shule zetu za kata kuondokana na hali ya sasa? Nini nafasi ya wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu katika kuboresha ELIMU KWENYE SHULE ZA KATA?
  2. Je MABADILIKO yanawezaje KUJITEGEMEA bila KUPATA NGUVU YA MJOMBA WA KIZUNGU? JE WATANZANIA WATEWEZAJE KUPUNGUZA UTEGEMEZI HATA KATIKA MAMBO YA UENDESHAJI WA MAMBO YETU YA NDANI NA YA KIBAJETI?
  3. Je MABADILIKO yanasimamo gani kuhusu sera ya kilimo (KILIMO KWANZA) katika kuleta maendeleo endelevu kwa mtanzania? je MABADILIKO yanaamini katika dhana tajwa na je dhana hii inatofautishaje na ubinafusishaji tulioufanywa katika miaka iliyopita? na je MABADILIKO yanajua athari za imported agri-commercialisation katika nchi ambayo zaidi ya 80% wanategemea Ardhi kwa KILIMO NA UFUGAJI?
  4. Je MABADILIKO yanajua chanzo cha mambo yalivyo hivi sasa? yamejiandaa vipi katika kurekebisha mfumo "THE SYSTEM"? In my view this is a centre of all our problems - the system is not working as the system so whatever we see are the consequences of the system failure.

NB: I stand to be corrected. kama nimekosea herufi au neno rekebisha na chanjia hoja ya MABADILIKO KAMA MBADALA (ALTERNATIVE SOLUTION)

I SUBMIT.
 
Ahsante sana kaka kwa kuwakubali hao watu! Ila umesahau kumweka na yeye....acha niwaorodheshe hapa chini kidogo kwa faida ya watu wenginine.

-Mzee Mwanakijiji
-Nguruvi3
-Mkandara
-Nicholas
-Mchambuzi
-Kiranga
-Utaki unaacha
-FJM
-Pasco
-Mag3 au Mag...sijui kama nimepatia ilo jina.
- Jmunis1, Na wengine kama watatu hivi nimesahau ID name zao

Kiukweli ukianzisha mada hapa JF na ukakuta mmoja kati ya hao amecoment kwenye thread yako basi ujue hoja
yako inamashiko. Vinginevyo huwaoni ng'ooo. Utaki unaacha

Mkubwa, naona umetoa orodha ya wafuasi wa CDM, kama ungetaja Great Thinkers vichwa kama hivi usingeacha kuvitaja. Profesa, Kiranga, Zakumi, Mwalimu, JingalaFalsafa, Ngongo, Nzi
 
Last edited by a moderator:
Kuna nyimbo moja inaimbwa hivi -: Unapoianza safariii unatiwa moyooo...yanapoibuka mafanikiooo vinaibuka vikwazooo!!!. Hakika huyu muimbaji wa nyimbo hii aliwaza mbali sana.
 
Mimi ningependa neno MABADILIKO liwe na maana pana zaidi ya neno kubadili chama kilichopo madarakani na kuleta chama kipya. Watanzania wanataka neno MABADILIKO litoe majibu mbadala ya baadhi ya maswali kama: -
  1. Je MABADILIKO yatafanya nini katika kuboresha shule zetu za kata kuondokana na hali ya sasa? Nini nafasi ya wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu katika kuboresha ELIMU KWENYE SHULE ZA KATA?
  2. Je MABADILIKO yanawezaje KUJITEGEMEA bila KUPATA NGUVU YA MJOMBA WA KIZUNGU? JE WATANZANIA WATEWEZAJE KUPUNGUZA UTEGEMEZI HATA KATIKA MAMBO YA UENDESHAJI WA MAMBO YETU YA NDANI NA YA KIBAJETI?
  3. Je MABADILIKO yanasimamo gani kuhusu sera ya kilimo (KILIMO KWANZA) katika kuleta maendeleo endelevu kwa mtanzania? je MABADILIKO yanaamini katika dhana tajwa na je dhana hii inatofautishaje na ubinafusishaji tulioufanywa katika miaka iliyopita? na je MABADILIKO yanajua athari za imported agri-commercialisation katika nchi ambayo zaidi ya 80% wanategemea Ardhi kwa KILIMO NA UFUGAJI?
  4. Je MABADILIKO yanajua chanzo cha mambo yalivyo hivi sasa? yamejiandaa vipi katika kurekebisha mfumo "THE SYSTEM"? In my view this is a centre of all our problems - the system is not working as the system so whatever we see are the consequences of the system failure.
NB: I stand to be corrected. kama nimekosea herufi au neno rekebisha na chanjia hoja ya MABADILIKO KAMA MBADALA (ALTERNATIVE SOLUTION)I SUBMIT.
Mkuu Logician, EL alizungumzia yote hayo katika kipindi cha Dakika 45 on ITV.
 
Back
Top Bottom