Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Watu wapenda nchi kwa sasa tunajadili matatizo yetu ili tuje kuyatafutia mtu wa kuyatatua. Nchi hii ina watu wengi tu wanaofaa uongozi na sio huyo mzee usiye na uhakika hata wa afya yake.
 
huyu mzee anautaka sana urais kwa udi na uvumba naamini atakosa kwa sababu-

-kuna makundi yanaogopa kisasi cha huyu jamaa hata wale waliopokea hela zake
-Migiro hata kama hapendwi anaelekea kupata baraka za mwenyekiti
-Richmond bado ni mzimu unaomuandama

anyway mtazamo wangu tu pengine nimekosea time will tell ,
 
Pasco hivi pale Nyerere alipomlebo EL ni mla rushwa kutokana na utajiri aliokuwa nao usiokuwa na maelezo alimuonea wivu tu ama aliuona ukweli fulani ama alikuwa MUONGO? Lakini la pili huyu material president wako hapendi kulaumu ufisadi kama ndio uliotufikisha hapa hata siku moja nae anamipango na kelele kama hao wengine..to me hakuna chochote kwa EL hata kama umekuwa obsessed ama addicted kiasi gani..ni mmoja wa wahujumu uchumi like others full stop
 
EL haingii hata chembe kwa Mh. Mwakyembe! kwanza ni fisadi na huo ndio ukweli na tuelezwe hizo fedha zote anapata wapi kama sio za akina RA ili waweze kuja kutumaliza kabisa? Raisi anatakiwa awe mwadilifu kama Mh. Mwakyembe na sio vinginevyo!
 
Watanzania kama sumu inajaribiwa mdomoni, jaribuni kumweka lowassa kama rais, mtalia na kusaga meno! Huyu jamaa ana hila, fitna na mlipiza kisasi wa waziwazi. Kina nape na wenzake mjiandae!
 
mmaranguoriginal mie ningependa kujua tamaa ya Lowassa ni nini?

Kama umeipima naomba nijue umeipimaje.

Natanguliza shukrani
 
Last edited by a moderator:
Kweli Lowasa angefaa lakini kuna jambo linalonipa wasi wasi nalo ni hili: Pesa anazotoa ktk Harambee anazitoa wapi?? Pia anategemea kuzirejesha kupitia njia ipi?.
 
mapenzi ya pasco kwa lowasa sidhani kama yanaishia kwenye siasa. There is smthng else.
 
Chadema mjue ccm ilishawashtukia, mnampalilia Lowassa ili 2015 mshindi kiulaini!. Imetafuna kwenu vibaya!
 
Nafanya mapitio tuu!.

Pasco
 
Nafanya rejea nikilinganisha na kinachoendelea sasa kwenye vikao vya chama cha Mapinduzi, CCM!.

Pasco
 
Nina wasiwasi Mzimu wa JK.Nyerere utamwengua EDO-2015 kama ulivyommaliza S.Sita hata kabla ya Oct. 2015.
Kwa hiyo ni vizuri Friends kutoku sahau hili.


 
Hata madudu ya Richmond, alitaka kuwafurusha na kutaifisha kila kitu ila alishindwa!, kutokana na "mwenye mitambo!".

Halafu unadai ni mjasiri na mtendaji mzuri.
Hahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…