Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 639
Hii ni baada ya kuiumbua CCM na wabunge wake ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hoja yake mujarabu kuhusu udhaifu wa sekta ya elimu hususani kutokuwepo kwa mtaala maalumu wa kufundishia kwa kukosa umakini na busara spika wa bunge kwa kushirikiana na baadhi ya wabunge wa ccm|9wasiowaza vyema) waliiondoa hoja ile kijanja janja na kumtukana mbatia.mungu si athumani muda si mrefu matokeo ya kidato cha nne yalitoka yakionyesha kufeli kwa wanafunzi asilimia 60 na zaidi.
Wachambuzi nwa mambo wanaeleza kuwa matokeo haya yaliiabisha CCM kwa kiwango kisichoelezeka huku yakimpandisha chati mbatia kwa viwango visivyotarajiwa na juhudi za kufifisha ukubwa wa aibu hii kwa kuunda kamati na kumjumuisha mbatia ziligonga mwamba na sasa kamati imemaliza kazi bila majibu ya maana.
Kitendo cha mbatia kugomea kujiunga na kamati hii ndicho hasa kilichozidi kumpandisha chati na kuonekana mzalendo wa kweli.
Kama haitoshi baada ya jengo la kule posta kuanguka mbatia alienda kushiriki kama mhandisi katika zoezi la uokoaji wa watu waliofikiwa mle ndani ya kifusi.
Kwa ujumla matukio haya yamempandisha chati ya kisiasa mbatia(so chama chake) na wachambuzi wa mambo wanabashiri kuwa anaweza kuitumia hali hii kama turufu ya yeye kugom,bnea uraisi 2015 kwa lengo la kuipandisha chati nccr-mageuzi inayoonekana kupoteza mwelekeo.
Wachambuzi nwa mambo wanaeleza kuwa matokeo haya yaliiabisha CCM kwa kiwango kisichoelezeka huku yakimpandisha chati mbatia kwa viwango visivyotarajiwa na juhudi za kufifisha ukubwa wa aibu hii kwa kuunda kamati na kumjumuisha mbatia ziligonga mwamba na sasa kamati imemaliza kazi bila majibu ya maana.
Kitendo cha mbatia kugomea kujiunga na kamati hii ndicho hasa kilichozidi kumpandisha chati na kuonekana mzalendo wa kweli.
Kama haitoshi baada ya jengo la kule posta kuanguka mbatia alienda kushiriki kama mhandisi katika zoezi la uokoaji wa watu waliofikiwa mle ndani ya kifusi.
Kwa ujumla matukio haya yamempandisha chati ya kisiasa mbatia(so chama chake) na wachambuzi wa mambo wanabashiri kuwa anaweza kuitumia hali hii kama turufu ya yeye kugom,bnea uraisi 2015 kwa lengo la kuipandisha chati nccr-mageuzi inayoonekana kupoteza mwelekeo.