Hata jua litoke magharibi kwenda mashariki cdm hakiwezi kushika nchi .hakuna watanzania wenye akili timamu wachague chama chenye ukabila. Hapa msaliti atakuwa mchaga ambaye hasapoti chama cha kabila lake.hicho ni chama chenu usitulazimishe tukipende .Undercover politicians wanaotumiwa na magamba kuidhoofisha cdm wananisikitisha sana.unakuta mwanasiasa mzima anapiga kelele na kujifanya mzalendo kumbe ni mchumia tumbo tu.wanawafanyia watanzania usanii na kujifanya wako karibu na jamii kumbe wana hidden agenda.time will tell.
Hata south africa kuna waafrika vibaraka walikuwa wanatumiwa na makaburu kuwahujumu weusi wenzao lakini wakati uliongea.vyama rafiki na magamba naviogopa kama ukoma.
Itafahamika tu nani ni nani.hawa wasanii watafeli tu.zaidi ya cdm sioni chama na wanasiasa wa ukweli kuleta mageuzi nchini.watawadanganya watu fulani wakati fulani lakini hawawezi wadanganya watu wote wakati wote.uelewa mdogo wa kisiasa kwa watanzania ni tatizo kubwa.
Magamba yametake advantage hiyo muda mrefu lakini cdm ndiyo kiboko yao.