Elections 2015 Kuelekea 2015: Nyota ya James Mbatia yaanza kung'aa kwa kasi

Hata jua litoke magharibi kwenda mashariki cdm hakiwezi kushika nchi .hakuna watanzania wenye akili timamu wachague chama chenye ukabila. Hapa msaliti atakuwa mchaga ambaye hasapoti chama cha kabila lake.hicho ni chama chenu usitulazimishe tukipende .
 
Sijawahi kumwamini huyu bwana wala kufikiri kuwa ni kiongozi anayefaa katika "NNJI HII" !

Huyu Mbatia ni aina fulani ya wanasiasa wanaotengenezwa na watawala kujaribu kugilibu watz. Mbatia huyu watawala (ccm) wanajaribu kumtengenezea umaarufu kwa watz kwa malengo ya kisiasa huko usoni. Ni mwanasiasa wa kichina!
 
ndo mana nimekuambia umaarufu huo ni wake na sio kama chama chake.

Oh... Hapo sasa nitakuelewa... Kwahiyo SIO MSAADA kwake au kwa ChAMA CHAKE... Labda avuke MPAKA aende KENYA - Lakini HUKO lazima Uwe kwenye FAMILIA kubwa; Kabila Kubwa...
 
Ha ha ha aha haaaaaaa. funny story.
 
Mh. Mbatia sikumpa uzito sana kutokana na kuteuliwana Rais, lakini kwa sasa huwezi amini ni miongoni mwa wabunge wachache sana ninaowaheshimu sana.
Lakini pia hatuwezi kupuuza tetesi kuwa jamaa ni ajent

Mkuu Mjuni Lwambo, kama wewe huja-comfirm kuwa kuwa Mbatia ni ajent, moyo wa Mbatia unamsuta kuwa yeye ni ajent.
 
Huyu Mbatia ni aina fulani ya wanasiasa wanaotengenezwa na watawala kujaribu kugilibu watz. Mbatia huyu watawala (ccm) wanajaribu kumtengenezea umaarufu kwa watz kwa malengo ya kisiasa huko usoni. Ni mwanasiasa wa kichina!

Mkuu JBITUNGO, ina maana mheshimia Mbatia ni bidhaa ya bei rahisi na feki lakini inayopambwa kisawasawa na maccm?
 
Urais? Mnaota mchana kweupe nyie. Mbatia hata ubunge hatapati, labda udiwani....

Taratibu mkuu, wala usitetemeke, mwenyewe hajasema anagombea. Wala mimi katika post yangu sijataja kwamba anastahili kugomea. Nilichoeleza tu ni kwamba ni haki yake akitaka, huna na sina mamlaka ya kumnyang'anya haki hiyo. Akigombea, kushinda au kushinda yote ni matokeo, waamuzi wapigakura.
 
Huyu Mbatia ni aina fulani ya wanasiasa wanaotengenezwa na watawala kujaribu kugilibu watz. Mbatia huyu watawala (ccm) wanajaribu kumtengenezea umaarufu kwa watz kwa malengo ya kisiasa huko usoni. Ni mwanasiasa wa kichina!

Kwa hiyo watawala ndio waliomtuma akaseme ukweli kuhusu ubovu wa elimu, ndio waliomtuma ajiltolee huko alikosaidia? Endeleeni kutunga nadharia, lakini wanaosoma hapa wanajua lengo lenu.
 
Kwa watu wanaofuatilia siasa kwa umakini huyu jamaa ni jembe;sio mnafiki,hana tamaa,ni msema kweli,anajuwa kujenga hoja,si mbabaishaji,tatizo ni kabila.

Kwani Mbatia kabila gani, na kabila lake lina tatizo gani?
 

hana haki kwa sababu hana uwezo
 
Washikaji Mbatia ana haki ya kufanya hivyo si mnakumbuka alivyofanywa Mtwara? Washkajihapahakuna kuhama kwenye njia,hapa hakuna kulala mpaka walale wao:bange:
 

Tusidanganyane, Mbatia hajawahi kufundisha sheria chuo kikuu, wala hakusomea sheria. Kama unamchukia mchukie kadri uwezavyo lakini usiseme uongo juu yake.
 

Mhhhhh still ni kibaraka wa CCM kiana katengenezwa kupunguza umaarufu wa CHADEMA lakini wananchi walio wengi wanalijuwa hili...............
 
Tusidanganyane, Mbatia hajawahi kufundisha sheria chuo kikuu, wala hakusomea sheria. Kama unamchukia mchukie kadri uwezavyo lakini usiseme uongo juu yake.

Nimefananisha na Mtoa Mada kumuita MHANDISI... Na Mimi namuita Mhadhiri wa CHUO KIKUU... reverse Quality... Kwanini unasema ninamchukia ? kumpinga mtu ni kumchukia?
 
kishabiki zaidi alafu nahisi ni mbatia mwenyewe using fake ID,SISI tunajua kuwa mbatia anatumiwa na ccm kugawa kura 2015
 
Kwa ajili ya kupunguza kura za upinzani ndio maana tukampa ubunge wa kuteuliwa na tukamwambia afanye ju chini kujiimarisha ili mwisho wa siku Ccm ing'ae baada ya wapinzani kugawana kura.
 

ASANTE SANA MKUU KWA KUTAMBUA HILO.
Huu ni mkakati wa CCM, HAKUNA LOLOTE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…