Kuelekea 2025, Hii ndio safu Mpya tunaypoitaka CCM baada ya Dkt. Bashiru kuondoka

Kuelekea 2025, Hii ndio safu Mpya tunaypoitaka CCM baada ya Dkt. Bashiru kuondoka

Kwa siasa za sasa ni dhahiri tunahitaji Katibu Mkuu anayekijua Chama from the scratch. Aliyekulia ndani ya Chama na aliyepikwa ndani ya Chama. Tumeona madhara ya kuchukua watu juu kwa juu.

Ndio maana sasa tunatumia jukwaa hili kushauri namna mpya ya kusuka Chama Cha Mapinduzi. Kwa kuteuwa watu waliozaliwa, lelewa na kukulia ndani ya Chama.

Wanaokijua tamaduni na desturi za Chama. Na kubwa wanaojua ibara ya 8 ya Katiba ya CCM. Heshima kwa watu wote na sio kutoa toa matamko hata mengine yasio kuwa na mashiko kama anayetoka. In this case

1. Katibu Mkuu - Dkt. Emmanuel Nchimbi

2. Naibu Katibu Mkuu - Martin Shigella

3. Katibu Idara ya Uchumi - Peter Maduki

4. Katibu Itikadi na Uenezi - Martin Shigella /Kheri James

6. Idara ya Organization - Abaki Pereira Silima. Ndio Mkuu wa idara pekee aliyemudu nafasi yake kwa ufasaha
Nchimbi mbona vice president mtarajiwa
 
Kwa siasa za sasa ni dhahiri tunahitaji Katibu Mkuu anayekijua Chama from the scratch. Aliyekulia ndani ya Chama na aliyepikwa ndani ya Chama. Tumeona madhara ya kuchukua watu juu kwa juu.

Ndio maana sasa tunatumia jukwaa hili kushauri namna mpya ya kusuka Chama Cha Mapinduzi. Kwa kuteuwa watu waliozaliwa, lelewa na kukulia ndani ya Chama.

Wanaokijua tamaduni na desturi za Chama. Na kubwa wanaojua ibara ya 8 ya Katiba ya CCM. Heshima kwa watu wote na sio kutoa toa matamko hata mengine yasio kuwa na mashiko kama anayetoka. In this case

1. Katibu Mkuu - Dkt. Emmanuel Nchimbi

2. Naibu Katibu Mkuu - Martin Shigella

3. Katibu Idara ya Uchumi - Peter Maduki

4. Katibu Itikadi na Uenezi - Martin Shigella /Kheri James

6. Idara ya Organization - Abaki Pereira Silima. Ndio Mkuu wa idara pekee aliyemudu nafasi yake kwa ufasaha
Dk. Emmanuel Nchimbi inabidi afanye kazi ya ziada kurudi chamani. Martin Shigella alishindwa vibaya sana Ukatibu Mkuu wa UVCCM. Mwisho wa siku, CCM INA utaratibu wake wa kupata viongozi.
 
Nchimbi unataka kubomoa yote aliyiyajenga JPM na serikali yake?
huyu hapana,huyu si yule alinunuliwa na Lowassa hata akatoka nje jila la Lowassa lilipokatwa?
Hatutaki.
 
Hivi unaempangia hii safi yako ni huyu huyu mwenyekiti au unae wako wa kuchonga?

Sasa subiri matokeo katika hao hapati hata mmoja specifically kama ni mpya.

Halafu usikute unawavurugia wenzako kijanja janja.
Hapo umesema kweli, hatuhitaji viongozi wa matamko'ropo ropo'
 
Kwa siasa za sasa ni dhahiri tunahitaji Katibu Mkuu anayekijua Chama from the scratch. Aliyekulia ndani ya Chama na aliyepikwa ndani ya Chama. Tumeona madhara ya kuchukua watu juu kwa juu.

Ndio maana sasa tunatumia jukwaa hili kushauri namna mpya ya kusuka Chama Cha Mapinduzi. Kwa kuteuwa watu waliozaliwa, lelewa na kukulia ndani ya Chama.

Wanaokijua tamaduni na desturi za Chama. Na kubwa wanaojua ibara ya 8 ya Katiba ya CCM. Heshima kwa watu wote na sio kutoa toa matamko hata mengine yasio kuwa na mashiko kama anayetoka. In this case

1. Katibu Mkuu - Dkt. Emmanuel Nchimbi

2. Naibu Katibu Mkuu - Martin Shigella

3. Katibu Idara ya Uchumi - Peter Maduki

4. Katibu Itikadi na Uenezi - Martin Shigella /Kheri James

6. Idara ya Organization - Abaki Pereira Silima. Ndio Mkuu wa idara pekee aliyemudu nafasi yake kwa ufasaha
Duh hata kheri james jamani?!
 
Duh hata kheri james jamani?!
Huyu ccm ikitaka kuimarika imfukuze uanachama Kama ilivyofanya kwa Member kwani kakiharibia Sana chama kwa Yale matamko yake ya chili na kuhamasisha mauaji kwa wapinzani! Afukuzwe Mara moja haifai ccm!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Huyu ccm ikitaka kuimarika imfukuze uanachama Kama ilivyofanya kwa Member kwani kakiharibia Sana chama kwa Yale matamko yake ya chili na kuhamasisha mauaji kwa wapinzani! Afukuzwe Mara moja haifai ccm!
Hafai hata kidogo, na kuomba kwake msamaha ni uthibitisho alivyo kiongozi duni kabisa kwani alitegemea mjomba wake atatawala miaka mia akilinda uchafu wao!! imekula kwake.
 
Back
Top Bottom