Kuelekea 2050

Kuelekea 2050

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Katika Dira ya maendeleo 2050 serikali unapaswa kufanya mapinduzi makubwa katika sehemu zifuatazo.

1. Kufanya mapinduzi kwenye sekta ya kilimo (Tanzania agriculture revolution) Hadi kufika 2050 kilimo kiwe kinachangia Pato la Taifa kwa asilimia kuanzia 40+
2. Sekta ya utalii nayo inahitaji maboresho makubwa

3. Kudhibiti population . Nilazima kuwe na sera madhubuti za uzazi wa mpango katika ku control population.

4. Utawala Bora zaidi ndio nguzo ya mafanikio

Asanteni maoni yangu ndio hayo
 
Kudhibiti population . Nilazima kuwe na sera madhubuti za uzazi wa mpango katika ku control population.
Mmhh!
Uzazi wenyewe ulivyo wa shida zama za leo. Mtu anazaa watoto wawili alifika wa tatu matatizo ya tumbo la uzazi yanaanza.
Acheni watu wazaane waujaze ulimwengu
 
Nashauri kwenye dira ya taifa tuweke siku 6 za mapumziko.
 
Back
Top Bottom