Kuelekea 30/09/2018: Combined 1st 11.

Kuelekea 30/09/2018: Combined 1st 11.

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Kuelekea 30/09/2018, ambapo Bingwa mtetezi wa TPL, Simba SC atapambana na Ndala katika dimba la Taifa Stadium. Hii itakua ni mara ya kwanza kwa timu hizi kukutana katika msimu huu, na hii ni baada ya Ndala kumkimbia Simba SC katika michuano ya Kagame.

Baada ya panga pangua ya mda mrefu, wachambuzi manguli mbali mbali wa soka huku wakiangalia performance ya mchezaji mmoja mmoja, wamekuja na combined 1st 11 ifuatayo baina ya hizi timu 2;

Kikosi cha Kwanza:
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Asante Kwasi
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondani
6. Jonas Mkude
7. Hassan Dilunga
8. Papy Kabamba Tshitshimbi
9. Meddie Kagere
10. Emmanuel Okwi
11. Shiza kichuya

Kikosi cha Akiba:
1. Beno Kakolanya
2. Gadiel Michael
3. Mohammed Hussein
4. Pascal Wawa
5. James Kotei
6. Cloutis Chama
7. Deus Kaseke
8. Mo Ibrahim
9. Heritier Makambo

Sasa kama katika Combined 1st 11, Mnyama kaanza kutawala kila kona mapema hivi.. Si katika 1st 11 bali pia katika Kikosi cha Akiba.. Hawa Ndala watatoka salama kweli 30/09/2018???

Nikiripoti toka katika ukumbi wa Habari Maelezo.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice).
 
tshitshimbi tena?

Ndio Mkuu huu ni muunganiko wa vikosi vya Ndala na Bingwa Mtetezi.. Simba SC. Hadi Papy kua hapo kulikua na ubishani mkubwa sana, lakini mwisho wa siku wachambuzi walielewana. Na labda nikumegee siri.. Hii namba ndo pekee ilileta utata.. Nafasi zingine zote walikubaliana kwa zaidi ya asilimia 83.5.
 
This is rubbish and no logic behind it.
Kuelekea 30/09/2018, ambapo Bingwa mtetezi wa TPL, Simba SC atapambana na Ndala katika dimba la Taifa Stadium. Hii itakua ni mara ya kwanza kwa timu hizi kukutana katika msimu huu, na hii ni baada ya Ndala kumkimbia Simba SC katika michuano ya Kagame.

Baada ya panga pangua ya mda mrefu, wachambuzi manguli mbali mbali wa soka huku wakiangalia performance ya mchezaji mmoja mmoja, wamekuja na combined 1st 11 ifuatayo baina ya hizi timu 2;

Kikosi cha Kwanza:
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Asante Kwasi
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondani
6. Jonas Mkude
7. Hassan Dilunga
8. Papy Kabamba Tshitshimbi
9. Meddie Kagere
10. Emmanuel Okwi
11. Shiza kichuya

Kikosi cha Akiba:
1. Beno Kakolanya
2. Gadiel Michael
3. Mohammed Hussein
4. Pascal Wawa
5. James Kotei
6. Cloutis Chama
7. Deus Kaseke
8. Mo Ibrahim
9. Heritier Makambo

Sasa kama katika Combined 1st 11, Mnyama kaanza kutawala kila kona mapema hivi.. Si katika 1st 11 bali pia katika Kikosi cha Akiba.. Hawa Ndala watatoka salama kweli 30/09/2018???

Nikiripoti toka katika ukumbi wa Habari Maelezo.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice).
 
Back
Top Bottom