Kuelekea AFCON 2027, JWTZ mna eneo zuri pale Nyegezi kona mnaweza kujenga uwanja mzuri wa mpira

Kuelekea AFCON 2027, JWTZ mna eneo zuri pale Nyegezi kona mnaweza kujenga uwanja mzuri wa mpira

Skythelimit

Member
Joined
Jul 19, 2023
Posts
61
Reaction score
133
Pongezi kwenu JWTZ kuwa na maeneo mengi makubwa hapa Tanzania.

Maeneo mengi yapo strategically kama mtayatumia kama fursa ya kukuza uchumi wa Jeshi letu la wananchi.

Pale Nyegezi kona katikati ya jiji la Mwanza mna kiwanja local ambacho huwa mashindano mbalimbali ya michezo huwa yanafanyika hapo.

Sasa kutokana na eneo hilo kuwa lipo vizuri na mjini kati kabisa, mnaweza kulibadilisha liwe la kisasa kabisa kwa kujenga uwanja wa mpira ambao timu za mataifa mbalimbali yanaweza kukodi kwa ajili ya kupiga kambi hapo kwa ajili ya mazoezi.

Jwtz kuwa na kiwanja cha mpira wa kisasa jijini Mwanza ni fursa ya kipekee kutokana kwamba jiji la Mwanza limepakana na nchi zote Kenya na Uganda ambao pia ni waandaaji wa mashindano hayo.

Tunajua jeshini kuna watu wa vipaji tofauti tofauti kama mainjinia wa ujenzi, tunaomba tuwaone katika mambo ya maendeleo kama haya siyo habari za kubeba magogo kwenye maenesho ya kitaifa.

Uwanja huu mnaweza kuu design kuwa wa kisasa wa kuchukua watu 15000 hadi 20000.

Hata kama mashindano ya Afcon yakiisha bado mkoa Mwanza unawepa uhakika wa mashabiki wa mpira kujaa kwenye uwanja wenu huo kwa sababu watu wa Tanzania wanapenda mpira sana.
IMG-20231002-WA0001.jpg

IMG-20231002-WA0003.jpg

IMG-20231002-WA0002.jpg
 
Si tumesema Mwanza haimo katika hizi mambo? Hatukuelewana kwani au
 
bdo kwa ndani kuna eneo la kutosha mbna na kuna kiwanja kingine kwa mbele..inshort pale space ya kutengeneza uwanja wa aina yyt ipo..na miundo mbinu ni rafk kbsa
Na pia wanaweza kuuza hisa kwa matijiri waweze kujenga kiwanja hicho kwa ushirikiano wa pande mbili
 
bdo kwa ndani kuna eneo la kutosha mbna na kuna kiwanja kingine kwa mbele..inshort pale space ya kutengeneza uwanja wa aina yyt ipo..na miundo mbinu ni rafk kbsa
Lile eneo sio sawa kujenga kiwanja mkuu maeneo yapo mengi ila Pale napinga mkuu kama wanataka kiwanja japo Mwanza hakuna hiyo nafasi ya kupewa kujenga uwanja kule Butimba space ni kubwa kuliko hata hapo Nyegezi
 
Inabidi serikali ichukue viwanja vyote ambavyo ccm wame jimilikisha kama vyao ivifanyie ukarabati ingepunguza gharama za ujenzi, hata kama vingevunjwa na kujengwa upya, japokua serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sababu ni kesi ya tumbili kumpelekea nyani
 
Hapana, hilo eneo ni dogo jamani. Huyu jamaa kaja na hii hoja kwa sababu kiwanja walichochezea Singida na Future huko Egypt kinamilikiwa na jeshi.

Hapo Nyegezi ni pafinyu sana huwezi kujenga kiwanja kwa kujiachia.
Oky!
 
Pongezi kwenu JWTZ kuwa na maeneo mengi makubwa hapa Tanzania.

Maeneo mengi yapo strategically kama mtayatumia kama fursa ya kukuza uchumi wa Jeshi letu la wananchi.

Pale Nyegezi kona katikati ya jiji la Mwanza mna kiwanja local ambacho huwa mashindano mbalimbali ya michezo huwa yanafanyika hapo.

Sasa kutokana na eneo hilo kuwa lipo vizuri na mjini kati kabisa, mnaweza kulibadilisha liwe la kisasa kabisa kwa kujenga uwanja wa mpira ambao timu za mataifa mbalimbali yanaweza kukodi kwa ajili ya kupiga kambi hapo kwa ajili ya mazoezi.

Jwtz kuwa na kiwanja cha mpira wa kisasa jijini Mwanza ni fursa ya kipekee kutokana kwamba jiji la Mwanza limepakana na nchi zote Kenya na Uganda ambao pia ni waandaaji wa mashindano hayo.

Tunajua jeshini kuna watu wa vipaji tofauti tofauti kama mainjinia wa ujenzi, tunaomba tuwaone katika mambo ya maendeleo kama haya siyo habari za kubeba magogo kwenye maenesho ya kitaifa.

Uwanja huu mnaweza kuu design kuwa wa kisasa wa kuchukua watu 15000 hadi 20000.

Hata kama mashindano ya Afcon yakiisha bado mkoa Mwanza unawepa uhakika wa mashabiki wa mpira kujaa kwenye uwanja wenu huo kwa sababu watu wa Tanzania wanapenda mpira sana.
View attachment 2769189
View attachment 2769190
View attachment 2769193
mwanza hakuna hoteli
 
Inabidi serikali ichukue viwanja vyote ambavyo ccm wame jimilikisha kama vyao ivifanyie ukarabati ingepunguza gharama za ujenzi, hata kama vingevunjwa na kujengwa upya, japokua serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sababu ni kesi ya tumbili kumpelekea nyani
Ccm walijimilikisha viwanja halafu hawaviboreshi. Hivyo viwanja vingekuwa vimekodishwa kwa wawekezaji nchini miaka mingi iliyopita tungeshakuwa tumeandaa mashindano ya kombe la Afcon
 
Ccm walijimilikisha viwanja halafu hawaviboreshi. Hivyo viwanja vingekuwa vimekodishwa kwa wawekezaji nchini miaka mingi iliyopita tungeshakuwa tumeandaa mashindano ya kombe la Afcon
Na walivyo kua washenzi unakuta siku mbili au moja kabla ya mechi wanafanya mikutano yao wana uacha uwanja uko hovyo hovyo kabisa au wakati mwingine mechi zinasogezwa mbele kisa tuu mikutano yao, wame viiba na hawawezi kuviendeleza timu zina hangaika hazina viwanja alafu wenyewe wametulia navyo tuu shenziiiiiiiiiiii kabisa wale 😡😡
 
Back
Top Bottom