Kuelekea ajira mpya za Walimu, hivi Serikali inaujua ukweli wa hali ilivyo mashuleni?

Kuelekea ajira mpya za Walimu, hivi Serikali inaujua ukweli wa hali ilivyo mashuleni?

Laswell

Senior Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
144
Reaction score
191
Salaam,

Nilikuwa naangalia matokeo ya darasa la nne kwa shule ya Kijijini kwetu. Kati ya watoto 39 wa darasa hilo, ni watoto 7 tu waliofaulu kwenda darasa la tano, tena kwa daraja la D. Shule hiyo ina walimu wawili tu, Mkuu wa shule na mwalimu mwenzake.

Shule hii, iliyoanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 1990, inategemea walimu hawa wawili kufundisha mikondo 8. Serikali, tafadhali ongezeni ajira ili shule kama hii ipate walau walimu wanne!
 
Kuna baadhi ya maeneo ni hatarishi kwa watumishi kuishi huko. Unakuta kiji kina walevi wengi, wachawi hatari, wavivu kupita maelezo, ukizungumzia suala la maendeleo wanakupuuza tu.

Nani atakubali kukaa eneo kama hilo? Dada yangu alipangiwa kwenda kufundisha wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora. Alipoenda kuyaona mazingira ya shule na hali ya Kijiji akasema Bora ajishughukishe na ujasiriamali kuliko kwenda kupotea katika Kijiji kile.

Wazazi hawana mwamko wa elimu ni shida tupu!
 
Kuna baadhi ya maeneo ni hatarishi kwa watumishi kuishi huko. Unakuta kiji kina walevi wengi, wachawi hatari, wavivu kupita maelezo, ukizungumzia suala la maendeleo wanakupuuza tu.

Nani atakubali kukaa eneo kama hilo? Dada yangu alipangiwa kwenda kufundisha wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora. Alipoenda kuyaona mazingira ya shule na hali ya Kijiji akasema Bora ajishughukishe na ujasiriamali kuliko kwenda kupotea katika Kijiji kile.

Wazazi hawana mwamko wa elimu ni shida tupu!
Umeeleza vema mkuu ila ungehitimisha kwa kutoa ushauri wa nini kifanyike. Je, maeneo haya kulingana na sifa ulizoeleza hayahitaji huduma za kijamii pamoja na wataalamu? Watu wasio namwamko wa mambo muhimu wanatelekezwa aubwanatafutiwa namna yakuwafanya wajitambue?
 
Nadhani suala la kwanza ambalo serikali inabidi walifanyie kazi "seriously" ni msawazo. Kuna mrundikano mkubwa sana wa walimu mijini. Igongwe transfer ya lazima ya kuwatoa walimu mijini wawapeleke Isoko huko na uone jinsi serikali ilivyo na nguvu kazi kubwa ya walimu ambayo iko misallocated. Tukimaliza hiyo, then ndio twende kwenye kuongeza nafasi sasa.
 
Hakuna shule yenye walimu wawili

Ulipoanza kusema kuna mambo ya Online nikajua unahoja ila ulipoandika hichi kitu ni fika uko sehemu unakula asali ya nchi.

Uhaba wa walimu nimkubwa mnoo tena mnoo Sema nchi na uwezo wake hawawezi kuajiri walimu hao wanaohitajika kwa wakati mmoja.

Online teaching yenyewe unayoongela ni kwa nchi ipi hiyo yaani? Tanzania au?
Tz hii ambayo Shule ina Form 1 waliko 800 naa(mngeaanza na kuwaeleza watu wapunguze kuzaliana)
Hapo hapo haina hata vyoo vya wanafunzi au majengo ya madarasa mazuri ndo watumie Ufundishaji wa mtandaoni?

Hata nchi zilizo endelea hazijafikia huko wewe ndo unaleta hizo ndoto tanzania?
 
Ulipoanza kusema kuna mambo ya Online nikajua unahoja ila ulipoandika hichi kitu ni fika uko sehemu unakula asali ya nchi.

Unahaba wa walimu nimkubwa mnoo tena mnoo Sema nchi na uwezo wake hawawezi kuajiri walimu hao wanaohitajika

Online teaching yenyewe unayoongela ni kwa nchi ipi hiyo yaani? Tanzania? hii ambayo Shule ina Form 1 waliko 800 naa. Hapo hapo haina hata vyoo vya wanafunzi au majengo ya madarasa mazuri ndo watumia Ufundishaji wa mtandaoni?

Hata nchi zilizo endelea hazijafikia huko wewe ndo unaleta hizo ndoto tanzania?
Umenisaidia kumjibu. Kweli kwa kuhadithiwa unaweza usiamini kuwa Kuna shule zenye walimu wawili. Mimi nimekuja kuamini kwa kuwa nimeshuhudia kwa macho shule niliyosoma huko kijijini.
 
Salaam,

Nilikuwa naangalia matokeo ya darasa la nne kwa shule ya Kijijini kwetu. Kati ya watoto 39 wa darasa hilo, ni watoto 7 tu waliofaulu kwenda darasa la tano, tena kwa daraja la D. Shule hiyo ina walimu wawili tu, Mkuu wa shule na mwalimu mwenzake.

Shule hii, iliyoanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 1990, inategemea walimu hawa wawili kufundisha mikondo 8. Serikali, tafadhali ongezeni ajira ili shule kama hii ipate walau walimu wanne!
Hivi shule ina endeshwaje na walimu wawili ,huo ni uonevu kwa hao walimu na watoto ndo waathirika zaidi .Ila serikali duu.
 
Nitatizo mkuu, najiuliza huyu mkuu akiwa na majukumu nje ya shule mwalimu anaebaki anafanyaje na hawa watoto. Hali nimbaya sana
Hivi shule ina endeshwaje na walimu wawili ,huo ni uonevu kwa hao walimu na watoto ndo waathirika zaidi .Ila serikali duu.
 
Salaam,

Nilikuwa naangalia matokeo ya darasa la nne kwa shule ya Kijijini kwetu. Kati ya watoto 39 wa darasa hilo, ni watoto 7 tu waliofaulu kwenda darasa la tano, tena kwa daraja la D. Shule hiyo ina walimu wawili tu, Mkuu wa shule na mwalimu mwenzake.

Shule hii, iliyoanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 1990, inategemea walimu hawa wawili kufundisha mikondo 8. Serikali, tafadhali ongezeni ajira ili shule kama hii ipate walau walimu wanne!
Hawawezi kukuelewa. Ma CCM yalivyo na roho mbaya, kwao ni furaha kuona watoto wa kitanzania wakifail maana hawana pa kuwapeleka hata ikitokea wamefaulu. Mbwa nyie CCM Mungu anawaona.
 
Back
Top Bottom