Kuelekea CAFCC: Simba vs Al-Ahly Tripoli msisahau rekodi hizi muhimu

Kuelekea CAFCC: Simba vs Al-Ahly Tripoli msisahau rekodi hizi muhimu

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri. Simba walipasuliwa goli 5-1 mechi ya away

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
 
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri Simba walipasua goli 5-1 mechi ya away na Haras
lianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kuingia group stage kwa tanzania ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
 
Kwa maoni yako unapita team ipi hapo nafasi ya kufika mbali
 
hivi hujui kwamba caf wanaitambua tripoli kama ni underdog kwa simba
 
Muafrika bhana..kwa akili yako yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
 
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri. Simba walipasuliwa goli 5-1 mechi ya away

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
Nasimama na SIMBA yangu daima❤❤❤
 
Muafrika bhana..kwa akili yako yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Dah! Mbumbumbu grade one kabisa
 
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri. Simba walipasuliwa goli 5-1 mechi ya away

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
Mmemumelewa kweli mwandishi ?? Au tusubiri pombe imtoke kichwani?
 
Muafrika bhana..kwa akili yako yote yanga ni kubwa kuliko Simba sc?😀😀...Simba sc ni imeshakuwa timu kubwa na bora na 5 barani Afrika,sasa hivi ni ya 6..yanga tokea iyanzishwe haijawahi kuingia top 10,Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966,Simba sc ndio timu ya kwanza kufika nusu final club bingwa 1974,imecheza robo final club bingwa mara 5 mfululuzo,yanga ndio kacheza juzi moja,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kufika final shirikisho mwaka 1993,rais Samia aliwaambia mlipi nyie wenzenu walishapita miaka 30 iliyopita,Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kucheza Super league,league ya timu 8 kubwa na bora barani Afrika,hiyo yanga yako bado haijawahi kucheza,Simba ndio club iliyochaguliwa na FIFA kuwania kushiriki kombe la dunia la vilabu kwa mwaka 2025 hiyo yanga ipo wap...utasema ndio ya kwanza kuanzisha ndio akili yenu ilipoishia,sasa ipo hivi ukubwa na ubora wa timu katika bara lake ni ukubwa na ubora aliyonayo katika bara lake na namna inavyojulikana dunia huko...uanzishaji ingekuwa kigezo basi Pamba iliyopanda daraja juzi ingekuwa ndio timu kubwa kuliko Azam,MAMELODY,Belouizdad n.k kwasababu pamba ni ya muda mrefu.
Rage Rage RAGE
"Rais Samia aliwaambia..." Tunashindwa kujua Yale yalikua ni maneno ya daraja ili tusijisikie wanyonge.
Umesahau kutaja na mafanikio yetu ya kibegi na "Whatsupp" channel na uporaji wa F. NGOMA airport.
 
Rage Rage RAGE
"Rais Samia aliwaambia..." Tunashindwa kujua Yale yalikua ni maneno ya daraja ili tusijisikie wanyonge.
Umesahau kutaja na mafanikio yetu ya kibegi na "Whatsupp" channel na uporaji wa F. NGOMA airport.
Brainless
 
Yanga nafasi ya 13 kwa Ubora Afrika na ndio mnaongea hivi.
Mkinusa nafasi ya 5 tutalala kweli ?
 
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri. Simba walipasuliwa goli 5-1 mechi ya away

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
Katika records za ubora wa timu CAF kati ya Simba, Ahly Tripol na Yanga nani yupo juu.

Mnachambua soka kama maandazi?
 
*Simba na AL Ahly tripoli zote ziliingia makundi shirikisho mwaka 2022 Simba ikaishia robo fainali (ile wanachoma moto uwanjani na Orlando) na Al ahly Tripoli wakaenda mpaka nusu fainali
* Timu zote mbili ziitolewa na Orlando Pirates Simba ilitolewa robo fainali na Al Ahly tripoli ilitolewa Nusu fainali
*CAF CONFEDRATION CUP ilianzishwa mwaka 2004 na timu ya kwanza kutoka Tanzania kuingia group stage ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 Yanga ya Manji
  • Timu iliyoshiriki group stage caf confederation mara nyingi kutoka Tanzania ni Dar es salaam Young africans ( 2016, 2018 na 2023)
  • Timu iliyofika mbali zaidi Cafcc ni Dar es salaam Young Africans Fainali mwaka 2023
1. Simba ilishiriki CAF CONFEDERATION CUP kwa mara ya kwanza mwaka 2007 na kutolewa katika hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Textil de Pungue ya msumbiji

2. Mwaka 2010 simba ilishiriki tena ikafanikiwa kuitoa Lenghtens ya Zimbabwe lakini ikaja kutolewa ikatili kwenye raundi ya pili na Haras al Hodood ya Misri. Simba walipasuliwa goli 5-1 mechi ya away

3. Mwaa 2011 Simba iliingia Caf Confederation Cup baada ya kuondolewa klabu bingwa wakataiwa kucheza na DC Motema Pembe wakapsuka nje ndani na kuishia hatua hiyo

4. mwaka 2012 Simba ilitolewa na AL Ahly Shendi ya sudan kwa penalty katikaraundi ya pili

5.Mwaka 2018 Simba ilifurushwa raundi ya kwanza tu na El Masry kwa sare ya 2-2 faida ya goli la ugenini.

6. Mwaka 2022 Simba ilifanikiwa kuingia group stage ya shirikisho kwa mara ya kwanza ikumbukwe timu ya kwanza Tanzania kuingia group stage ya shirikisho ni Dar es salaam Young Africans mwaka 2016 ikarudia tena 2018 na timu ya pili ni Namungo mwaka 2021 kisha simba 2022 na Yanga tena 2023.

Soma Pia: Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi
Kwahiyo mwasho woote ni ushabiki tu kwamba Yanga ndiyo timu yenye mafanikio cafcc.
Balance shobo basi ueleze na mafanikio ya Simba CAFCL ,Ueleze na jinsi Yanga ilikaa miak a 28 bila kucheza makundi klabu bingwa.

Mpumbavu sana! Tena sana.
 
Back
Top Bottom