Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Kuwa Mzalendo Ndugu, Tanzania ndiyo inacheza ijumaa dhidi ya Morocco.Kila laheri Casablanca, friends of casablanca tupo na nyie [emoji3577]
Ameshaambiwa ameze...so msiwe na wasiwasiAsee kama Manula hayupo sijui itakuaje...
Salim anatema sana.
Huyo ni mkaanga sumu π πKuwa Mzalendo Ndugu, Tanzania ndiyo inacheza ijumaa dhidi ya Morocco.
Selfish na kutaka kufunga mabao ya kistaaNi kitu gani kinaweza kufanya wachezaji wasiwe n commitment?
Mmeanza perempete mapemaaa...andaeni panadol zq kutosha hyo sikuKila laheri Casablanca, friends of casablanca tupo na nyie βοΈ
Amka utakojoa kitandaniNimeoteshwa Simba kutinga nusu fainali
Rivers ilicheza na burundi?πKuwa Mzalendo Ndugu, Tanzania ndiyo inacheza ijumaa dhidi ya Morocco.
Ni kweli nimepata taarifa muda si mrefu Quattara hayupo. Hapo Kennedy itabidi a take coverOuatarra sidhani kama yupo na timu,Simba inabidi wawe wengi sehemu ya kiungo wamzunguke yule Jezi namba 5 anaitwa Jabran kama walivyofanya juzi wakikaba yule WAC wanakosa nguvu mechi nyingi alizokabwa yule inaisha kwa kufungwa au ushindi wa kubahatisha mnaweza kuangalia mechi za AS vita zote mbili,na Ya Js kabylie kule algeria na ya Simba Tz,uzuri ambao ni ubaya kwa WAC hawana njia mbadala ukishika kiungo chao
Onyango atacheza kwani ana kadi mbili za njano,CAF hadi upewe suspension unatakiwa uwe na kadi 3 za njanoOnyango ana Kadi hatacheza..
Halafu huyo otarah ni uchochoro sio beki