Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Ouatarra sidhani kama yupo na timu,Simba inabidi wawe wengi sehemu ya kiungo wamzunguke yule Jezi namba 5 anaitwa Jabran kama walivyofanya juzi wakikaba yule WAC wanakosa nguvu mechi nyingi alizokabwa yule inaisha kwa kufungwa au ushindi wa kubahatisha mnaweza kuangalia mechi za AS vita zote mbili,na Ya Js kabylie kule algeria na ya Simba Tz,uzuri ambao ni ubaya kwa WAC hawana njia mbadala ukishika kiungo chao