Corona2020
Senior Member
- Feb 8, 2020
- 142
- 391
Huyo Quattara ni hewa. Bora ata acheze Ahmed ally kuliko huyo huyo jamaaQuattara inabidi aoneshe ukubwa na uzoefu kwa game kama hii. Akiwa fiti atatusaidia sana.
Mimi napendekeza huyo Mwamposa bora tusafiri nae kabisa.Manula hayupo, ila kwa mwarabu nyumbani kwake naona inahitajika miujiza kwa upande wetu, kama tunaweza kupita kwa Mwamposa kabla ya kupanda ndege itapendeza pia.
Wale waarabu tulikuwa na nafasi ya kuwafunga atleast magoli matatu hapa nyumbani, tukafanya utani, kwenda na goli moja kule kwao ni dogo sana.
View attachment 2598486
👍Mfumo mzuri..
Na Mimi nilimshauri Robertinho kwenda na 3 :4 :2 : 1
BACK THREE.
KENEDY.
Inonga.
Onyango
Viungo WANNE.
Kapombe, shabalala, Mzamiru na kanute..
Viungo wawili wa juu.
KIBU na chama.
Baleke.
Mimi nashauri mjipange tu kwa ajili ya msimu ujao. Msimu huu, safari yenu ndiyo inatamatika Jumamosi.Wakuu,
Game ya Casablanca ni ngumu mno! Lazima uwe na wachezaji waliofiti kifizikia na kiakili muda wote wa mchezo.
Supercoach Robertinho ni fundi ila natoa ushauri mdogo tu. Hiki ndio kikosi changu cha mauaji huko. Mwarabu hatoboi hapa [emoji851]
Aishi Manula
Quattara Inonga Onyango
Kapombe Mzamiru Kanoute Kibu D
Saido Chama
Baleke
Sub: Nyoni, Phiri, Tshabalala, Ally, Sakho, Sawadogo, Kennedy, Banda na Israel.
Mfumo ni 3:4:2:1
Hili ndio kikosi langu, unaweza kutabiri chako. Kila lakheri Lunyasi #nguvumoja
Hawa waliokandwa na Kibu D MKANDAJI? Au kuna wengine?Ngoja tuwasaidie kwenye game, tunawapa Aucho, Bangala na Morrison au mnaonaje?
Kiukweli wabongo kila mtu sku hizi ni wataalamu wa mpira tuwe wawazi hao jamaa kuwafuga kama tunavyopanga sio rahs kumbuka wako nyumbani na wamehaidiwa manoti haswa sioni tukichomoka ila tunajipa natumain tu ,tuombe Mungu tu basi.Mimi nashauri mjipange tu kwa ajili ya msimu ujao. Msimu huu, safari yenu ndiyo inatamatika Jumamosi.
Haya mambo ya kujigeuza Juma Mgunda, au Robertinho! Hayawezi kubadili ukweli.