Ujinga wako wa kutokujua sera na mipango ya Nchi iliyopo usitake kuwajumuisha wengine.
Sio lazima kuwa na ukuaji wa 11% Bali 8% inatosha sana.
Turudi Sasa kwenye sera zilizopo ambazo Mimi nazifahamu Baadhi yake
1.Universal Health coverage,Afya ndio msingi na hapa tayari sera ya bima ya Afya Kwa wote ipo na utekelezaji wake uko hatua Kwa hatua.
2.Tanzania inalenga kuwa kinara wa Kuzalisha mazao ya Kilimo Africa na pia kuondoka kabisa importation ya mazao ambayo tunaweza zalisha mfano Ngano,Mafuta ya kula,mbegu,korosho ,mbolea nk ,agenda 10/30 ni reference.
-As we speak Jumla ya hactares 500k plus zinajengwa na Serikali ya Samia ,Toka uhuru Kuna hactares 900k tuu
3.Tumeweka lengo la Utalii kufikia watalii walau 5mln by 2025 na kuongeza kadiri ya uboreshaji wa Huduma,lazima tuvute watalii mil.15 by 2050.
-Ujenzi wa miundombinu ya Utalii unaendelea hasa Southern Circuit Kwa kujengwa viwanja vya ndege na Huduma zingine.
4.Tunalenga kutumia sekta ya Madini kutuvusha huko,Tanzania ni Nchi ya 5 Africa Kwa kuwa na Madini mkakati mengi ambayo ndio hata drive Dunia , uwekezaji unaendelea sio tuu huko Hadi kweli Madini ya Chuma.
5.Tanzania imeanza kununua dhahabu kama njia ya kukabiliana na forex na kuyumba yumba Kwa Shilingi
6.Kwenye uwekezaji ndio usiseme,hiyo figures unavyoona hapo 2/3 ni domestic investments ila Kwa kuwa wewe ni mbumbumbu na mjinga ndio zinaongea huo upuuzi wako wa unaodai Mali ziko Kwa wageni.
-Sio tuu tunafanya promotion ya uwekezaji Bali Serikali ya mama imeunda Tume ya Kupitia kero za Kodi ,tozo nk lakini by we speak Mama amefuta zaidi ya tozo 375.
7.Kwenye Miundombinu, Serikali imeamua kuwekeza sawa sawa huko Vijijini Kwa Kupeleka Barabara za uhakika,maji na umeme.Mambo hayo yatawezesha uwekezaji kufanyika popote.
8.Serikali ya mama imebadili mitaala ya Elimu na kuunda mitaala ambayo inajilita kwenye Elimu ya umahiri hususani fani za amali kuanzia shule ya Msingi Hadi Vyuo Vikuu,utekelezaji unaendelea.
9.Kwenye Nishati tayari malengo yamewekwa ambapo by 2034 tuwe tumeachana na mambo ya Kuni na Miata about 80% itumie Nishati safi ya umeme na gesi nk na utekelezaji unaendelea.
-Umeme hautakuwa tatizo tena tuna vyanzo mseto vinaendelezwa vya maji, geothermal,jua ,upepo nk
10.Mabiresho ya sheria Ili kusapoti biashara ni suala mtambuka linaendelea.
View: https://x.com/AnnaSarungi/status/1867125113398948335?t=TFLJzEv-nnSZQyKbxcSeHw&s=19
Hayo yote coupled with population growth tunaenda kuishangaza Dunia.