momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Angalia vizuriUjerumani wanacheza 4-4-2
Naona leo Schweinstiger kaingizwa mapema,tatizo mzee yule atachoka mapemaHahahaa
Kuna ile mtindo wa kusema tulifunga waka kataa
De sciglio anacheza kama Wing-back mkuuMpira ni mbinu na Italy leo wamekuwa waangalifu kupanda sana mbele, halikadhalika kwa upande wa Germany nao wamekuwa waangalifu ingawa wamenza na Bastian Schweinsteiger sehemu ya kiungo ili kumdhibiti Mattia de Sciglio.
Mabeki wa Germany Jonas Hector na Joshua Kimmich wamefanikiwa kuwazuia mabeki wa Italy wasipande sana mbele.
Lakini meneja wa Gernany Joachim Low bado anatatizwa na uchezaji wa Italy ambao unamtumia Mattia de Sciglio pekee kama mchezaji wa kiungo na huku Germany ikiwatumia wachezaji wawili Bastian Schweinsteiger na Toni Kroos.
Kipindi cha pili kimeanza.
Utatu wa nyuma uko hivi howedes Boateng na hummelsUjerumani wanacheza 4-4-2
Umeona eeh mimi sasa hivi nimeamua kuwa neutral,ingawa deep inside my heart i wish Italia washindeHii game ni ya kuweka akiba ya maneno bahari imechafuka upepo unageukageuka wimbi linaweza kwenda kokote.
Naona leo Schweinstiger kaingizwa mapema,tatizo mzee yule atachoka mapema
Eeeh, lakin alipo umia Khedira na mimi nikahisi wacha leo babu achangamke mapemaNaona leo Schweinstiger kaingizwa mapema,tatizo mzee yule atachoka mapema
hahahaha Siyo Podalsiki?naona mwenzao Klose alishastaafu,yaani huyu Schwein hazeeki tokea nipo primary school namuona tu,ila nahisi this time ndo kipindi chake cha mwishoBaadae ataingia understudy wake Mario Gotze
hahahaha Siyo Podalsiki?naona mwenzao Klose alishastaafu,yaani huyu Schwein hazeeki tokea nipo primary school namuona tu,ila nahisi this time ndo kipindi chake cha mwisho
Florenzi...Huyu jamaa aliye okoa mchomo wa Muller nme mpa salute
Ila buffon ndo kiboko yaan ni Mugabe wa mpirahahahaha Siyo Podalsiki?naona mwenzao Klose alishastaafu,yaani huyu Schwein hazeeki tokea nipo primary school namuona tu,ila nahisi this time ndo kipindi chake cha mwisho
De sciglio anacheza kama Wing-back mkuu
AaaahFlorenzi...