Kuhusu ubingwa bado wana kazi ya kufanya..Wanakutana na German semj final,pagumu sana hapo. Nawapenda France lakini kiukweli German wako vizuri
Tusubiri mdau..Naombea iwe hivyo wafaransa wanyanyue ndooKwa mpira waliocheza mfano jana,German watasubiri kwa France.
Hii combination ya ma-nigga ni shughuli.
BTW:Mpira unadunda kiongozi lolote linawezekana.
Ndugu hii sentesi yako ya mwisho inahitaji moyo kuwaambia Iceland.France wapo fit so far.
Paul Pogba, Blaise Matuidi wanashughulika sehemu ya kiungo kupika mashambulizi huku wakisadiwa na Patrice Evra na Bacary Sagna.
Inapobidi Dimitry Payet na Antoine Griezmann nao wanashughulika kwa kiasi lakini wanafunga.
Iceland wasikate tamaa ndio mpira huo.
Ndugu hii sentesi yako ya mwisho inahitaji moyo kuwaambia Iceland.
Mkuu usinikumbushe kidonda..Diaby alituharibia mechiIsiwe Arsenal vs Newcastle United all over again...
Bonge la striker ndio maana Wenger haangaiki kusajili striker mwingine
Yes wanawake wao wanautwa Jonsdottir,maana yake daughter of JonShukran kwa taarifa. Hiyo style yao imekaa vyema
Acha tu,ila mechi na Germany atakuwepoDaaah angekuwepo leo ingekuwa poa
Wabongo utamaduni wetu wa kitaifa sijui ni upi. Sisi michezo yote ni zero halafu kila mchezo tunautaka.Yes wanawake wao wanautwa Jonsdottir,maana yake daughter of Jon
Yes wanawake wao wanautwa Jonsdottir,maana yake daughter of Jon
England wachovu tu..Mpira wao wa mdomoni,uwanjani zero