Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Iceland wanafahamu kwamba Giroud na Koscielny wana kadi za njano hivyo wanaweza kutengeneza kesi lakini huku wakizuia wasifungwe goli la tano.

Ila Didier Deschamps atawatoa
Swadakta maneno yako jamaa wamejitutumua ila uwezo umeishia hapo ila nadhani ni stapping stone nzuri kwa majaaliwa ya soka yao kama watawekeza zaidi dhahiri siku za usoni sio timu ya kuibeza.
 
Mario Gomez hatocheza kaumia,ila Germany ni stronger than France,ngonja tutaona hope France nao wataresist,kama jana German walivyoresist kwa Italy

mpira wa Germany, Italy na France unafanana kidogo na ni tofauti na Portugal.

Ndio maana jana Germany na Italy wakaenda hadi kwenye hatua na matuta.

Ila France wana nafasi ya kuwafunga Germany kwa idadi ndogo ya magoli.

Ushindi wa France utategemea wachezaji wa kiungo na Ng'olo Kante nae anarudi.
 
Swadakta maneno yako jamaa wamejitutumua ila uwezo umeishia hapo ila nadhani ni stapping stone nzuri kwa majaaliwa ya soka yao kama watawekeza zaidi dhahiri siku za usoni sio timu ya kuibeza.

Mimi naona Iceland wana uwezo wa kuwafunga tena timu kama ya Uingereza kama wakicheza.

Na Uingereza walivyo na nongwa wataomba mechi ya kirafiki ili wakishinda wapate cha kusema.
 
Ile pasi ya Giroud kwa Griezman goli la nne ni hatari..Unaweza ukavyunja kiuno usipokua makini
 
Reactions: BAK
Watakuwa wamegain confidence ya hali ya juu kwamba pamoja na udogo wa nchi yao kumbe na wao wanaweza kupambana na mataifa makubwa yenye wachezaji wenye majina makubwa. Ukubwa wa pua.......

Kabisa mdau..Wakijipanga mashindano yajayo wanaweza kufika mbali zaidi.
 
Ghafla Wales kabeba Euro 2016.

Je Fifa watampa Gareth Bale Ballon D'ior?

Maana atakuwa ameipa taji timu ya taifa na klabu pia kaipa taji la ligi ya mabingwa.
Ile ipo kwa ajili ya andunje na mwenzie roboti.. Tusubr miaka miwil ijayo mambo itakuwa free kwa wengine
 
Wamenifurahisha sana pamoja na kufungwa leo bado walienda kwenye jukwaa la washangiliaji wao na kuanza kushangilia kwa pamoja. Wamesaidia sana kuyachangamsha mashindano haya.

Nitamis sana style yao ya ushangiliaji..Wanapiga makofi hatarii
 
Watakuwa wamegain confidence ya hali ya juu kwamba pamoja na udogo wa nchi yao kumbe na wao wanaweza kupambana na mataifa makubwa yenye wachezaji wenye majina makubwa. Ukubwa wa pua.......
Kabisa mkuu..Wako serious sana na mpira. Ni greatest move wameonyesha kwa mara ya kwanza kuingia kwenye haya mashindano. Wameonyesha hakuna kinachoshindikana kama mkijipanga. TZ tutaishia kwenye uchawi tu na kucheza challenge basi.
 
Reactions: BAK
Iceland ni timu nzuri, zile goli za mapema ndio zilizowaweza.. Ila ile defense ya chama langu ufaransa iwe makin na ujeruman..
 
Wamenifurahisha sana pamoja na kufungwa leo bado walienda kwenye jukwaa la washangiliaji wao na kuanza kushangilia kwa pamoja. Wamesaidia sana kuyachangamsha mashindano haya.
Wamenikumbusha Leiceater city,from zero to hero. Ingekua uero ni ligi basi wangeshika nafasi nafasi za juu
 
Reactions: BAK
Iceland ni timu nzuri, zile goli za mapema ndio zilizowaweza.. Ila ile defense ya chama langu ufaransa iwe makin na ujeruman..
Dechamps asije akamuazisha chizi Mangala mechi ijayo,ataharibu kila kitu. Haeleweki yule
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…