Umeiona cover page ya marca ya leo?I don't like such kind of journalism of Ben Hayward, Goal.com, ESPN FC and the likes. It's like they're hired to troll Cristiano in anything he does and praise the opposite side. Haipendezi kuona hata vyombo vya habari za michezo nazo zinaandika Gossip badala ya kutoa report. Kwa ujumla media za kisasa zinasikitisha sana, they have to emotionally hurt somebody everyday ndio maisha yaende. Sasa naogopa hata kumshawishi junior kuhusu kazi uandishi wa habari naona kama ni evil job tu.
Pepe hayupo Leo,
Nimeangalia kikosi kinachoanza yeye hayupo.Nimemuona Pepe anasalimiana na Bale, sasa hivi ananyoosha viungo uwanjani
Nimeangalia kikosi kinachoanza yeye hayupo.
Haha nafasi yake amechukua Bruno AlvesKweli man, namuona yuko kakaa stand ile sura yake duh!
Hii ngoma wasipoangalia Wales wanaweza kupigwa hii. Portugal naona middle yote yao
Anachezea porto kakaMreno Danilo anachezea timu gani?
Anachezea porto kaka
Ahsante. Jamaa anaonekana katulia kiaina kuliko hata William Carvalho aliyekuwa anakimbizwa na timu kadhaa miaka michache iliyopita.Fc Porto