Ila mechi badoHahahaha
Kwa kweli kaharibu mood
Alafu inaingia kwa kubebwa ndo uwa ina kera zaidrefa kipofu. Koscielny ndiye aliyemvuta shati Muller.... sipendagi timu mwenyeji kuingia fainali.
Mjerumani leo kala ulojoaaah
Leo imekula kwetu
Mambo yamegeuka Mkuuaaah
Leo imekula kwetu
HahahahaMjerumani leo kala ulojo
AaaahMambo yamegeuka Mkuu