Kweli kabisa hawana timu ya kuchukua kombe hawa, nawasubiri wabelgiji na ujerumani Ndio nawapa nafasi sanaUfaransa Hawa hawawezi kuchukua hili kombe japo linachezwa nyumbani kwao.
Kweli kabisa hawana timu ya kuchukua kombe hawa, nawasubiri wabelgiji na ujerumani Ndio nawapa nafasi sana
Umri wa mabeki wa France wanaoshiriki Euro Evra (35 ) Sagna (33) Koscienly(30) Rami (30) Jallet (32)Hakuna wengine
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] England hiii ya sasa haa haa has usnivunje mbv mkuu n sawa na kuitabiria arsenal wanatwa UEFA[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3] [emoji3] [emoji3] Utakaa Kimya Tu Ndugu Yangu, Ngoja Tuchukue Ndoo Ubadilishe Akaunti Humu.