PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Umri wa mabeki wa France wanaoshiriki Euro Evra (35 ) Sagna (33) Koscienly(30) Rami (30) Jallet (32)
Ufaransa sio sawa na Tanzania kuna vijana kina Samuel Umtiti,Lucas Digne wanapigwa benchi,Evra alicheza timu mmoja na kina Anelka,Henry,Gallas,Malouda
Yaani hata Zidane bila kustaafu mwenyewe mpaka Leo angekuwa anacheza timu ya taifa. Teh teh teh