Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Haya asiyekubali kushindwa si mshindani ila nahisi leo tutamuona CR7 atakayecharuka uwanjani maana kapania sana kulipeleka hili kombe kwao na anajua ngome ya Ufaransa si imara.

Asante kila heri na wewe

Nadhan tuta wafunga leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…