Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

CR7 anaonekana hataki kutoka... Umeumia mkuu angalia usiharibu msimu mzima ujao..
 
Ureno watakosa attacking threat ya vichwa toka kwa Ronaldo7
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chezea kupumuliwa kisogoni
 
Back
Top Bottom