Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Gameiro ,Laccazete wameachwa while Giroud na Gignac ndio wanaongoza safu,pamoja ya hayo kwa hiki kikosi France walipaswa kubeba ubingwaFrance why walimuacha yule Striker wa Seville? au sio mfaransa? leo Ufaransa kutakuwa kimyaaaa!!!!! waombe dk za mwisho goli ila leo Eu Revoir
ImelaaaaaaChinekeeeeeeeer
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Huyu Ronaldo kasomea wapi ukocha?
Anajua kamera zote zipo kwake japo yupo nje.
OyoooooooGame haijaisha? ????
Ushaandika maumivuFrance kwa tunayoifahaamu ukiona mpaka hatua hii hakuna aliyomtoa na michuano inafanyikia aridhi ya nyumbani.
Baasii andikaa maumivu kwa yoyote aliengia nae fainali.