Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Hongereni sana nilichokipenda ni mnyamwezi kufunga,hongereni sana Portugal,ila mwanangu CR ana misifa huyooo,Hongera CR7 am Man U sijaloose kitu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Haya tutafute wa kumlaumu toka France... Griezmann kakosa magoli , Giroud hajafanya kitu chochote.... Pogba samaki nje ya maji..Alaumiwe nani?
Nasubiri Messi vs Ronaldo7 nani zaidi bullshit kuanza.
Huyu pogba sijui morinho anampendea nini zaidi maana watu km yy man u wapo wengi tu
 
Leo nimejifunza tena Mpira umoja, France timu yao imecheza umoja ila haikushinda kwa bahati mbaya, Ureno kwa timu sio nzuri ndio wamecheza umoja hasa kutoka C Ronaldo pengine imesaidia angekuwepo akili zao wangepiga mpira yote kwa C Ronaldo. ukiwa na timu mbovu kuwa na umoja.
 
Ronaldo alijituma
Watu walisema hawatafika mbali ila wamelibeba
Tusikate tamaa kamwe
Tusisikilize maneno ya wakatishaji tamaa
Ona leo timu mbovu ya kina Ronaldo, timu iliyoshinda mechi moja tu ndio imebeba kombe
Timu zilizoshinda mechi zaidi ya tatu hazijachukua kitu
 
Hongereni sana nilichokipenda ni mnyamwezi kufunga,hongereni sana Portugal,ila mwanangu CR ana misifa huyooo,Hongera CR7 am Man U sijaloose kitu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]


CR7 Leo alikuwa kocha. Sijui kajulia wapi ukocha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…