Pole sanaSitaki chochote aisee
Ulitabiri atafika mbali ila leo katuachia kombe letuMimi nazipa nafasi timu hizi nne kufika mbali zaidi.
1.Ufaransa
Licha ya kuwa wenyeji tu bali pia wana kikosi cha dhahabu kama vile Pogba, Martial, Griezmann, Laporte, Coman, Benzema na wengineo wengi.
labu zao ila wanapafomu vizuri timu ya taifa. Rejea kuhusu mkongwe aliyestafu Miroslav klose.
ema kwenye Euro 2016 pale Ufaransa.
Na ndo kitu kinachonifanya nisiangalie mpira frequently, tumbo la kihoro linaniuma mwanzo mwisho. Roho juu juu + ndo Na kufungwa juu aiseeeHuo ndio utamu wa mpira
Ila wanawake kuwapo uwanjani ndio usabsbisha wachezaji nao walie kiurahis
Yuko unique sana...Hahaha Ronaldo alidata kwa muda
Ntapoa keshoPole sana
Ha ha ha ha....Real Madrid wamesema Pogba wenu Man U. Eti anauzwa Euro milioni 120. Na agent anataka Euro milioni 20. Si uchizi huo.
atakuwa kaenda NASA wamrushe sayarini.Waaaapii PNC 1
Kweli Ronaldo kusema kweli hajafanya lolote la ajabu katika haya mashindano. Fainali mara nyingi ni 50-50 na mechi inapokwenda extra time sucker punches kama hizi huwa zinatokea.Watu wanaongelea C Ronaldo kama yy ndio kaishindia Ureno wakati yeye kakimbia Haraka lawama wasifiwe kina Carvalho na Joao Mario pamoja na Nani rubaman
Nakumbuka 2004Power
Chezea ushindi wewe hata mm ningekuwa kocha kwa muda.CR7 Leo alikuwa kocha. Sijui kajulia wapi ukocha!!!
Pogba ni mido ambazo zinatuliza pressure ya mchezoSio Mourinho tu mkuu. Dunia nzima inamsifia huyu dogo lakini sijaona lolote la maana toka kwa Pogba. Labda mimi kipofu kimpira
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nasikia yupo Spain kumlipia messi kodiatakuwa kaenda NASA wamrushe sayarini.
Rubaman refa wako leo nilikwambia atachaguliwq Final.
Wasalimie tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] leo mtaongea yote ila [emoji632] [emoji632] [emoji632] BINGWAA
This is football. [emoji259]Ntapoa kesho
Yaani huyu mnyamwezi kuna moja alinipigia ya hatari nikasema kichaa huyu atatuliza aiiii hata dakika 3 hazijaisha akaniliza kweli,big up mnyamwezi.....
Eder akifunga goli pekee la Porugal ambalo limewapa kombe la Euro 2016.
Pole sana