tupo mkuu...Dah! wakuu mpo?
Mkuu tupo. .... tunakutegemea kwa update sijui ulikimbilia wapiDah! wakuu mpo?
Harry Kane ndio mpiga konaNimerudi nipo nimerudi.
Hongera zao Wales naona watavuka na ama England au Russia.
HaaaaUmejuaje kama nawaombea njaa? mimi nipo England mbona
Ni bonge ya uzembe kwa straika mzuri haez kosaHii block aliyopigwa sterring ni bonge moja la clearance
Mimi nipogo UjerumaniHaaaa
Ndo timu yako ya moja kwa moja!!?
Kufanya uzembe kama aliofanya ngassa against brazil [emoji2]Ni bonge ya uzembe kwa straika mzuri haez kosa