Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone kipindi cha pili kama watafanya killer move ama watakuwa damageTrue beki za Russia ukipeleka mbio na ubavu freekick zipo tatizo England mpira wao wa kutabirika unajua nani atampa nani......
ampishe Rashford sasaKane kwa kweli aka pumzike sasa
apumzike tu!!Eeeh
Na kweli naona Ali naye kimyaa
Aingie nani hapo!!?apumzike tu!!
England bora wafungwe tu wakapigane na polisi vizuri huko mitaani. Wako Bodeux, ni mji mzuri kuna warembo wa hatari lakini hawa pombe wanaleta fujo. Bora watolewe tu
Sawasawa kabisa, Rooney, na Lallana wanacheza kama wakiwa kwenye timu zao na wana-enjoy kuucheza mpira kwa uhuru Zaidi.
Kane anacheza kama akiwa Tottenham lakini anasahau kwamba yupo kwenye Euro 2016 na anatakiwa atumie vizuri nafasi zinazotafutwa na Wayney Rooney na Adam Lallana.
Wilshere au barkleyAingie nani hapo!!?
nimeangalia utabiri wako kwenye main post hujawatabiria mema, so its obvious huna mapenz naoUmejuaje kama nawaombea njaa? mimi nipo England mbona
Hakika mkuu,
Ngoja tumuangalie kipindi hiki cha pili huenda akawa na lolote la kujirekebisa, Ila yote kwa yote, BIG RESULTS NOW ni kumuingiza Rashford.
BACK TANGANYIKA
Wana timu ya kawaida sana!!nimeangalia utabiri wako kwenye main post hujawatabiria mema, so its obvious huna mapenz nao
![]()
Kwa mujibu wa Opta Index, data zinaonyesha kwamba Wayne Rooney ametoa pasi 39 na kati ya hizo pasi 10 ni zaidi ya mchezaji yoyote yule wa Russia.
Ni pasi mbili tu ndizo alizopoteza zenye rangi nyekundu.