Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Dress like Flinstone

c845970b8ea0fc3de8a5a52e7394698c.jpg
 
Russia wameanza kucheza kwa huuru zaidi sasa, wana Imani.

Goli ni 0-0 na dakika inakwenda ya 68
 
Deli Ali kwa Rooooooney anapiga shuti -no kipa wa Russia anapangua! What a save!

Goli ni 0-0 dakika inakwenda ya 70
 
George Schenicov anapewa kadi ya njano kwa kumwangusha Deli Ali, ni mpira wa adhabu unapigwa na Eric Dieeeeeeeeeeeeeer 1-0 kwa England
 
Mimi timu iliyo na wachezaji wa Barcelona ndiyo itakayotwaa ndoo na jambo la kujivunia Barcelona haina mchezaji Muingereza wala Mreno maana hz timu mbili ni washiriki haswahaswa huyo vuvuzela England aliyejaza wachezaj kibao wa man u ambao sifa za media 90% uwezo wa huyo anayepewa sifa 10%
England wamefunga sasa hivi!! come on boys come on!!!!!
 
Roman Shirokov anaingia na anatoka Alexandry Golovin
England wanafanya mabadiliko na anaingia Jack Wilshere badala ya Wayne Rooney.
 
Hii sub sijaielewa....

Hivi unamtoaje Rooney na kumuacha Sterring au Alli?

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom