Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Bora uunge unge ila umalize teeehe teeehe kifupi point mliyopata jana hamjipati tena mtaondoka na hiyo hiyoUshindi wa kuunga unga ule kama ile elimu ya hapa na pale.
Wales atakaa tu kwa England
Wanaondoka na point moja tuEngland sioni kama timu yao itafika mbali.!
So Leo mpaka sasa wana uhakika point 3...!Katika game alizofunga modric aka Samson Croatia haijawahi poteza win 10 draw 1 ....
Hahahah jipe moyo. Nawasubiri nyie Wales. Ila mimi nipo Great Britain ndugu. Ila Wales kumfunga England mtihani huoBora uunge unge ila umalize teeehe teeehe kifupi point mliyopata jana hamjipati tena mtaondoka na hiyo hiyo
Washachukua mkuuSo Leo mpaka sasa wana uhakika point 3...!
Uzuri na sisi Wales huwa hatumpendi malkia basi lazima hasira zetu ziishe kwenuHahahah jipe moyo. Nawasubiri nyie Wales. Ila mimi nipo Great Britain ndugu. Ila Wales kumfunga England mtihani huo
Hahaha ila ndo bado mpo Great BritainUzuri na sisi Wales huwa hatumpendi malkia basi lazima hasira zetu ziishe kwenu
#TeamGerman kama kawaida mtu lazima apigwe nyingi leoHaya sisi wajukuu wa Hitler tunaanza rasmi mashindano hapo baadae!! Thom Muller ana goli zake mbili leo!!
Na tunajitoaHahaha ila ndo bado mpo Great Britain
Mwaka gani sasa? Sema German na Spain naongejea mechi zaoNa tunajitoa
Muller lazma awaweke!!#TeamGerman kama kawaida mtu lazima apigwe nyingi leo
Ngoja tufanye figisufigisu..... tatizo game ya Spain vs Czech kesho ni muda mbayaMwaka gani sasa? Sema German na Spain naongejea mechi zao
Kura ya maoni hiyo. Ni mchana au?Ngoja tufanye figisufigisu..... tatizo game ya Spain vs Czech kesho ni muda mbaya
saa 4:00 usikukina Kroos wanacheza saa ngapi?