Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
-
- #741
Anaitwa Antonio Candreva...bonge moja la kiraka toka hapo S.S. LazioBonge la goli,yule jamaa aliyetoa assist kama nilishaanza kumchukia hiv sababu alikua anatengewa mipira mingi sana pembeni akawa anazingua, ila hii ya mwisho alitulia!! beautiful finishing!!
Azzuri wamethibitisha kuwa kauli ya makocha wengi kama team yangu inaundwa na vijana haina maana yyt ile!Italy wametoa onyo kuwa wamekuja kushindana sio kunywa mvinyo!Belgium kama Brazil WC 2006 majina makubwa no chemistry at all!
Austro-Hungary game pls msikose,ni zaidi ya soka
Polisi France leo wana kazi kubwa sana,na kibaya zaidi mechi hii ilitakiwa ichezwe mchana sio jioni!Nitataka kuona wkt zinapigwa nyimbo za Taifa kama watatii sheria,kwa mfano Serbia na Albania mechi huwa inavurugika kwa sababu hamna team inayo heshimu nyimbo na bendera ya mwenzakeJamaaa itakuwa zaidi ya uingereza na russia maana hawa wanabifu zito kiboko makomandoo wa france inabidi wawe jirani sijui itakuwa vipi aisee
Thanks Belo. Nimenuna..duh! Next matchPole sana
Hahaha ila timu yenye wazee ni Ireland karibia wachezaji 10 ni above 30Ukuta wa Italy
Buffon miaka 38
Barzagli miaka 35
Bonucci miaka 29
Chiellini miaka 31
Jumla= 133
Nimeona na mie, ila mie kama Betting naweka 5000/1 Sweden na Spain kupigana hehehe nitacheka kama Sweden nao wana Hooligan.Jaman naskia urusi wamekuwa suspended mwenye taarifa zaid atujuze
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeona na mie, ila mie kama Betting naweka 5000/1 Sweden na Spain kupigana hehehe nitacheka kama Sweden nao wana Hooligan.
Ni onyo tu kwamba wakirudia tena wanafukuzwa kabisa (sidhani kama wamebadili haya maamuzi)Jaman naskia urusi wamekuwa suspended mwenye taarifa zaid atujuze
Hilo ni TISHO tu,huwezi ifukuza team sababu ya vurugu za mashabiki!Wataenda Court of Arbitration for Sport-Geneva kwa hati ya dharura kusimamisha mashindano na UEFA wanajua haya!Jaman naskia urusi wamekuwa suspended mwenye taarifa zaid atujuze
huko ndio watapoendea ila kumbuka Liverpoolfc ilifungiwa Europe miaka ya nyuma sababu ni Mashabiki.Hilo ni TISHO tu,huwezi ifukuza team sababu ya vurugu za mashabiki!Wataenda Court of Arbitration for Sport-Geneva kwa hati ya dharura kusimamisha mashindano na UEFA wanajua haya!
England fans walikuwa wana vurugu mno fainali za miaka ya nyuma lkn zaidi ya ONYO hawajawahi fukuzwa
Italia wanabahati sana ya kupata #mabeki wanaojua shughuli beki #katili anza na #matterazi rafiki yake #zidane,#canavarro fabio,#nesta alexender,#maldini paulo na yule kiungo mwenyerohombaya #gennarogatusso...Ukuta wa Italy
Buffon miaka 38
Barzagli miaka 35
Bonucci miaka 29
Chiellini miaka 31
Jumla= 133