Italia wanabahati sana ya kupata #mabeki wanaojua shughuli beki #katili anza na #matterazi rafiki yake #zidane,#canavarro fabio,#nesta alexender,#maldini paulo na yule kiungo mwenyerohombaya #gennarogatusso...
wanabahati sana ya kupata #beki za nguvu halafu wanajua kujitunza sio kama rafiki zangu #watoto wa malkiaUmemsahau Mauro Camorenesi Muargentina aliye badili uraia na kuwa Mtaliano.
Upo sahihi,wanaweza fungiwa WASISHIRIKI EURO ya 2020 lkn HUWEZI tolewa mashindanoni hasa ukifika kituoni na kucheza tayarihuko ndio watapoendea ila kumbuka Liverpoolfc ilifungiwa Europe miaka ya nyuma sababu ni Mashabiki.
Umenikumbusha Gatusso, katili kweli kweliItalia wanabahati sana ya kupata #mabeki wanaojua shughuli beki #katili anza na #matterazi rafiki yake #zidane,#canavarro fabio,#nesta alexender,#maldini paulo na yule kiungo mwenyerohombaya #gennarogatusso...
Mmoroco at workNaona Ronaldo anajiangusha angusha tu
Taxessi ana cheza saa ngapMmoroco at work
Mkuu endelea kusubiri tu huenda wakajiunga mda simrefu teh teh teh !!!Wakuu hawa Azam tv ndo wamehamua kutuchezea akil hiv...yaan nmekaa hapa kuanzia saa nne naangalia zbc 2 hamna cha euro wala nin
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]Mkuu endelea kusubiri tu huenda wakajiunga mda simrefu teh teh teh !!!
[emoji4] [emoji13] [emoji13] [emoji13] yupo uwanjaniTaxessi ana cheza saa ngap
Azam kuonyesha hadi wajiskie aseeWakuu hawa Azam tv ndo wamehamua kutuchezea akil hiv...yaan nmekaa hapa kuanzia saa nne naangalia zbc 2 hamna cha euro wala nin
Kwani nime semaje!!?[emoji4] [emoji13] [emoji13] [emoji13] yupo uwanjani
Wa Iceland wamesawazisha