Argentina Messi anaumia halafu wana mfunga ChileArgentina, aguero anaanzia bench. Nchi gani duniani utamweka aguero bench. Messi anachezea kikosi bora duniani
Kwa kweli sikulaum mtu yyte angetabiri croatia kupenya kasoro wale mashabiki tuu wa ureno ambao tusinge admit hko kituNilikwishatoa utabiri wangu ukiondoa Croatia sasa nasubiri kama ntashinda betting yangu angalau nusu ya dau.
Lol
Kwa kweli sikulaum mtu yyte angetabiri croatia kupenye kasoro wale mashabiki tuu wa ureno ambao tusinge admit hko kitu
EeehKilichowapotezea Croatia ni kukazania kumzuia Ronaldo asitafute vyumba na akiende sana mbele.
Luka Modric na Ivan Rakitic wanacheza na Ronaldo pale Bernabeu hivyo kwa kuwa wanamfahamu vizuri na mtindo wa uchezaji wake wao wakawa wanamchunga yeye tu na kuzuia supply ya mipira isiende kwake.
Portugal kuona hivyo wakawa hawana jinsi na ikabidi wawe wanapokea mashambulizi kwa kujaribu counter attack lakini wakawa pia nao wanazipoteza.
Lakini walipomwingiza Renato Sanchez ambae ndie alietolea pasi Nani ambae akampa Ronaldo kujaribu kufunga hiyo ilikuwa ni hatua ya kujaribu kumaliza game na imefanikiwa hivyo ni uzoefu tu.
Yaani hapo watu watatu Sanchez, Ronaldo na Nani ndio wamefanikisha goli lililofungwa na Quaresma.
Mkuu Italy na Spain ndo mtoano sasa robo wanakutanajeNilikwishatoa utabiri wangu ukiondoa Croatia sasa nasubiri kama ntashinda betting yangu angalau nusu ya dau.
Lol
Eeeh
Ukubwa dawa
Yaan pale kila walicho kuwa wana kiamua kina ronaldo kilikwa sahibi
Ila kina modric pale kat walitawala furesh kabsa, kosa moja ndo lme waua
Kwa kweli ngoja tusubir tuone inakaaje hiyo mechNi tactics tu za mpira mkuu hakuna ujanja.
Ila Portugal wanaweza kuja kushinda kirahisi dhidi ya Poland ambao nao watamchunga sana Ronaldo na kusubiri kucheza counter attack.
Hiyo ni kwasababu Poland na akina Lewandowski hawajafunga magoli mengi sana kwenye hii Euro 2016, wamefunga magoli 3 katika mechi nne walozicheza.
Mkuu Italy na Spain ndo mtoano sasa robo wanakutanaje
Zinafikaje robo zote wakati hapa mtoano Italy vs SpainSijasema Italy na Spain zinakutana kwenye robo fainali, ila nimetaja timu ambazo zinaweza kufikia kwenye hiyo robo fainali.
Zinafikaje robo zote wakati hapa mtoano Italy vs Spain
Kwa maana hiyo ulisema kabla nmeelewa mkuu [emoji106] [emoji106] [emoji106]Nilisema hivyo bila kuangalia draw baada ya Ujerumani kushinda mechi yake ya pili kwenye kundi, hivyo nikawa naona kuwa timu 8 za robo fainali zinaweza kuwa ni hizi.
Nilitaja tu hizo timu, lakini Spain ikaharibu kwa kufungwa na Croatia.
Kwa kweli walikuwa hawana sababu ya kutolewa na Ureno, ana squad nzuri, vijana wadogo, na wana depth kulko ureno
Portugal na Poland robo fainali ,kazi ipo
Anangojea final ya copa America[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Ana tafuta sababu kesho aje nazo
daah...bahati haikuwa yao!Mussolin naona list yako kwa timu ulizozipa nafac zaanza kupungua moja moja hahaa, nimeumia sana croatia kutoka.