Pot 1 sio kundi izo n timu ziliwekwa pamoja kwny draw wakati wa upangaji wa makundiHayo ni makundi au sijaelewa jmni, maana kma ni makundi basi hyo POT 1 sioni anayepita
Hawaonyeshi Startimes, wanaonyesha copa america tu.startimes vp wataonyesha?
Inaonyesha ni ZBC2 haiko kwenye startimes iko kwenye azam tv tu iliyopo startimes ni ZBC.Zbc ipo startimes hivyo wataonesha tu
Tayari mkuu. Uzi umeunganishwa.Mods unganisheni thread hii na ile nyingine ya " Euro 2016 updates " iwe moja. Michuano inaanza kesho
cc JamiiForums Moderator Invisible Paw
Akhsante.Tayari mkuu. Uzi umeunganishwa.
kilaza unayetumia kitwangaHapo Brazil anachukua kombe.
Mkuu usiwadharau jamaa...weka akiba ya manenoNadhani france wana wigo mkubwa wa kubeba ndoo...
1.france
2.germany
3.spain
Wabelgiji majina makuuuubwa ila sioni chemistry ya kuchukua ubingwa
cheki hapo juu mwanzo wa threadKwani ni team gani zitashiriki
[emoji106] [emoji106]cheki hapo juu mwanzo wa thread
Nimeangalia mechi zao hizi mbili zilizopita za majaribio,kawaida sana! Labda wabadilikie kwenye mashindanoMkuu usiwadharau jamaa...weka akiba ya maneno
Italy wamekushawishi vipi mkuu?