Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Mimi timu iliyo na wachezaji wa Barcelona ndiyo itakayotwaa ndoo na jambo la kujivunia Barcelona haina mchezaji Muingereza wala Mreno maana hz timu mbili ni washiriki haswahaswa huyo vuvuzela England aliyejaza wachezaj kibao wa man u ambao sifa za media 90% uwezo wa huyo anayepewa sifa 10%
nikikusoma between the line, nakuona jinsi ulivyochukia mlivyopigwa kipigo cha paka (8:2) ukaamua kuhama mazimaa!

cc barafuyamoto
 
Sio kwa england hii wakuu....england ya world cup at least ilikua kali na hawakutoboa......sijui ina gundu gani england.....labda wapandishe viwango b4 june....still there's plenty of time to improve!!

France, belgium, germany, spain wana vikosi vizuri....
Subiria maajabu tu. Ingawa kuna timu nyingine zipo vizuri kwa kweli
 
Kituko, england ktk soka la ulaya ni timu kama Czech, ya kawaida!
Yaani engaland ambayo wameanza kusema na Wilshire na Walcott wawepo?
Ya kina Delle Ali, lallana, Stones, Barkley, Oxlain, Kane, Rooney??
No chance, hawafiki 1/4 final.
Ndugu acha dharau basi. Mashindano haya lazima England waoneshe maajabu just wait and see. Hao Wilshire na Walcott wanapigwa panga tu
 
Back
Top Bottom