Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Team news:

Romania first XI: Kipa ni Tatarusanu (Fiorentina- Italy) Sspunaru, Grigore, Vlad Chiriches (Tottenham- England), Razvan Rat,(West Ham- England) Hoban, Mihai Pintilii ( Steaua Bucharest) Stanciu, Popa, Stancu, And one

Timu hii ya Romania imefungwa mara mbili tu katika mechi zake 10 za kufuzu Euro 2016.

Hivyo France wana kazi ya kuivunja ngome ya Romania.
 
Romania kidogo wafunge goli la kwanza na mpira unaokolewa na kipa Hugo Lloris

Dakika inakwenda ya 6

Goli ni 0-0
 
Dakika 17 zimekwenda na goli ni 0-0

Timu zote sasa zinacheza kwa kushambulia baada ya kusomana mchezo wa kila mmoja wao.
 
Wachezaji wa kiungo wa Romania wamepewa kazi ya kuwabana Matuidi, Pogba na Kante na wanaifanya kazi hiyo kwa ufanisi.

Lakini wanamsahau Dimitri Payet ambae anaweza kuleta athari upande wa kulia wa Romania.

Dakika inakwenda ya 20

Goli ni 0-0
 
So far so good kwa Romania.

France ni lazima wa-stamp authority kwa kufunga magoli ya mapema.

Lakini si Giroud Griezmann au Payet wa kufungua mlango wa Romania.

Dakika inakwenda ya 19

Goli ni France 0 Romania 0
 
Romania wameweza kuhimili uwezo wa France hadi sasa lakini hii ni nafasi ya France kuanza kampeni yao kwa ushindi.

Dakika inakwenda ya 35 goli badi ni 0-0
 
Duniani kuna vituko! Sasa huyu kocha (DESCHAMPS) Alichofanya ni nini hasaa? Ni ubaguzi ama ni nini hasaa? Why hakuwachukua WAARABU kwenye kikosi hicho,badala yake amewaingiza vilaza wasiojua chochote

Benzema
Ribery
Nasry
Ben Arfa
 
Back
Top Bottom