Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Wanaoamini ile sio panalty shauri zao, lakini jamaa ule mpira kaokoa kwa mkono jamaa asipige kichwa. Tena makusudi kama yale alistahili yellow card kabisa.
 
katika kuangalia kwangu Mpira C Ronaldo kiboko yake alikuwa Ashley Cole ila kipindi kile jamaa Wing sana alikuwa. Ureno nafasi ndogo sana kwa France hata Mjerumani ila CR7 hatabiriki.

Nimewahi kuona Cole anakalishwa chini mara 2.
Ungesema Genaro Gatuso ningeelewa.
 
Mchezaji Bora wa haya Mashindano kaumia Boateng japo watataka kumpa CR7.
 
Mpira ukiisha Joachim Löw akatafute timu ya kufundisha
 
Wakoloni wa Tanganyika wanasambarika... Duh Karl Peters yupo wapi?
 
Mannschaft wanaogopesha lakini,mwe pressure inanipanda inashuka
 
Huyu Refa ingekuwa enzi zile za utawala wa Hitler angefatwa usiku wa manane na watu wa Usalama na asingejulikana kapelekwa wapi.
Hahahaha
Yaan huyu hata mimi tuu ningejitolea kumshughulikia
 
Back
Top Bottom