Kuelekea fainali Algeria: hiki ndiyo kikosi changu Cha Yanga sc kitakachonipa ubingwa.

Kuelekea fainali Algeria: hiki ndiyo kikosi changu Cha Yanga sc kitakachonipa ubingwa.

hapo bro waarabu watapata sifa bure.

sureboy si sahihi sana kwa game ile, pale weka zawadi ili tupate zawadi ya usalama pale kati.

kibwana fresh, djuma sio sana coz sikuizi anakabia macho. kama si kumtumia job basi djuma ndo anaweza pata nafasi.

mbele kule ni muhimu kuanza na moloko, nadhani unajua vile anavyo jua kuzitumia pasi za bangala Yannick.

sub, Morrison Kwa musonda ni uhakika, ataingia kukazia ushindi coz tayari atakuta team inaongoza goli na aggregate.

Ki kwa zawadi, shifting ya Ki na mudathir 10/8

Mzize ataingia kumpumzisha moloko. hapo ndipo litapatikana goli la 3. TUNZA REPLY HII.
Kwa kweli Yanga ni timu ya nchini kwangu Tanzania lakini kusema ukweli siipendi kuliko team nyingine yoyote Hapa ulimwenguni. Lakini ikitokea ikashinda ni sawa Kwa sababu inapeperusha bendera ya nchi yetu. Na ikitokea wamefungwa nitafanyeje sasa? Itabidi nifurahi SANAA NA KUSHEREHEKEA USIKU MZIMA Kwa sababu hata nisipofurahi itasaidia Nini Kwa sababu kombe tayari litakuwa limekwenda?
 
u
Kwa kweli Yanga ni timu ya nchini kwangu Tanzania lakini kusema ukweli siipendi kuliko team nyingine yoyote Hapa ulimwenguni. Lakini ikitokea ikashinda ni sawa Kwa sababu inapeperusha bendera ya nchi yetu. Na ikitokea wamefungwa nitafanyeje sasa? Itabidi nifurahi SANAA NA KUSHEREHEKEA USIKU MZIMA Kwa sababu hata nisipofurahi itasaidia Nini Kwa sababu kombe tayari litakuwa limekwenda?
endelea kuichukia, utavaa medali.
 
u

endelea kuichukia, utavaa medali.
Medali ya Nini mkuu Kwa sababu wakishinda ama kushindwa siwezi PATA kitu chochote tangible. Hiyo medali nani atanipa na Kwa lipi? Nadhani wewe inaonekana hufurahia post za wale tu wanaojiongelesha kuipenda Yanga.
 
1. Diara

2.naenda na Djuma shabani, Sina muda wa kupoteza kupanda na kushuka kwake ni advantage kubwa katika kikosi.

3.Kibwana shomari kutokana na umahili wake wa kukaba naona Bora aanze huyu bwana mdogo na lomalisa aanzie benchi.

4&5 Ibrahimu Bacca na Bakari nondo Mamunyeto hawa Nina Imani nao kabisa bila Shaka yoyote kutokana na kiwango kizuri kutoka kwao walichokionesha.

6.Yaniki Bangala Litombo Nampa dimba la Kati kazi yake inafahamika na uzoefu mkubwa katika michuano hii.

8. Kwa kua Khalid Aucho hayupo hapa nampa Salumu Abubakari Sure boy acheze na Bangala alipo sure boy mpira upo huyu ni fundi wa mpira hatoniangusha.

7.Naaza na TK master Tuisla Kisinda huku Benard Morrison akianzia benchi baada ya dakika 45 za mchezo mpaka 60 naingiza Bernad Morrison.

9.fiston kalala mayele hakuna asiyejua uwezo wa huyu mwamba.

10. Aziz kii au Mudathri mmoja wapo anaweza kuanzia benchi.

11. Kennedy Musonda kutokana na spirit aliyonayo ya kupambana hakika naona kabisa anafaa kuanza katika kikosi Cha kesho kitakachoikabili Algeria.


Mwarabu lazima afe nyumbani kwake bila ya kupepesa macho.View attachment 2643926
Wewe jamaa bana nilikuwa nakuona unajua mpira ila kwa hii list yako kumtaja kisinda na Aziz Ki nimekuona zero kabisa
 
1. Diara

2.naenda na Djuma shabani, Sina muda wa kupoteza kupanda na kushuka kwake ni advantage kubwa katika kikosi.

3.Kibwana shomari kutokana na umahili wake wa kukaba naona Bora aanze huyu bwana mdogo na lomalisa aanzie benchi.

4&5 Ibrahimu Bacca na Bakari nondo Mamunyeto hawa Nina Imani nao kabisa bila Shaka yoyote kutokana na kiwango kizuri kutoka kwao walichokionesha.

6.Yaniki Bangala Litombo Nampa dimba la Kati kazi yake inafahamika na uzoefu mkubwa katika michuano hii.

8. Kwa kua Khalid Aucho hayupo hapa nampa Salumu Abubakari Sure boy acheze na Bangala alipo sure boy mpira upo huyu ni fundi wa mpira hatoniangusha.

7.Naaza na TK master Tuisla Kisinda huku Benard Morrison akianzia benchi baada ya dakika 45 za mchezo mpaka 60 naingiza Bernad Morrison.

9.fiston kalala mayele hakuna asiyejua uwezo wa huyu mwamba.

10. Aziz kii au Mudathri mmoja wapo anaweza kuanzia benchi.

11. Kennedy Musonda kutokana na spirit aliyonayo ya kupambana hakika naona kabisa anafaa kuanza katika kikosi Cha kesho kitakachoikabili Algeria.


Mwarabu lazima afe nyumbani kwake bila ya kupepesa macho.View attachment 2643926
Haujaandika KAULI MBIU.
 
Kibwana huyu huyu mwenye futu 3? Djuma huyuhuyu mwenye BMI ya 33?
Ngoja tusubiri.
Kibwana hakubaliiii, alitaka kutenguliwa uti wa mgongoo hana hamu tenaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hapo bro waarabu watapata sifa bure.

sureboy si sahihi sana kwa game ile, pale weka zawadi ili tupate zawadi ya usalama pale kati.

kibwana fresh, djuma sio sana coz sikuizi anakabia macho. kama si kumtumia job basi djuma ndo anaweza pata nafasi.

mbele kule ni muhimu kuanza na moloko, nadhani unajua vile anavyo jua kuzitumia pasi za bangala Yannick.

sub, Morrison Kwa musonda ni uhakika, ataingia kukazia ushindi coz tayari atakuta team inaongoza goli na aggregate.

Ki kwa zawadi, shifting ya Ki na mudathir 10/8

Mzize ataingia kumpumzisha moloko. hapo ndipo litapatikana goli la 3. TUNZA REPLY HII.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati huo waarabu watakuwa wapiii?
 
EWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.


NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
 
ha
Medali ya Nini mkuu Kwa sababu wakishinda ama kushindwa siwezi PATA kitu chochote tangible. Hiyo medali nani atanipa na Kwa lipi? Nadhani wewe inaonekana hufurahia post za wale tu wanaojiongelesha kuipenda Yanga.
hapana brother, sema kuna ushabiki na chuki, me nafurahia ushabiki wa Team yeyote. lakini sio chuki za wazi kwa Team fulani.
 
1. Diara

2.naenda na Djuma shabani, Sina muda wa kupoteza kupanda na kushuka kwake ni advantage kubwa katika kikosi.

3.Kibwana shomari kutokana na umahili wake wa kukaba naona Bora aanze huyu bwana mdogo na lomalisa aanzie benchi.

4&5 Ibrahimu Bacca na Bakari nondo Mamunyeto hawa Nina Imani nao kabisa bila Shaka yoyote kutokana na kiwango kizuri kutoka kwao walichokionesha.

6.Yaniki Bangala Litombo Nampa dimba la Kati kazi yake inafahamika na uzoefu mkubwa katika michuano hii.

8. Kwa kua Khalid Aucho hayupo hapa nampa Salumu Abubakari Sure boy acheze na Bangala alipo sure boy mpira upo huyu ni fundi wa mpira hatoniangusha.

7.Naaza na TK master Tuisla Kisinda huku Benard Morrison akianzia benchi baada ya dakika 45 za mchezo mpaka 60 naingiza Bernad Morrison.

9.fiston kalala mayele hakuna asiyejua uwezo wa huyu mwamba.

10. Aziz kii au Mudathri mmoja wapo anaweza kuanzia benchi.

11. Kennedy Musonda kutokana na spirit aliyonayo ya kupambana hakika naona kabisa anafaa kuanza katika kikosi Cha kesho kitakachoikabili Algeria.


Mwarabu lazima afe nyumbani kwake bila ya kupepesa macho.View attachment 2643926
1. Diarra
2. Dickson Job
3. Kibwana
4. Bacca
5. Mwamnyeto
6. Bangala
7. Musonda
8. Sure Boy
9. Mayele
10. Mudathir
11. Morrison
Sub: Metacha, Juma Shaban, Lomalisa, Farid Musa, Aziz Kii, Tuisila Kisinda, Jesus Moloko, Clement Mzize, Zawadi Mauya, nk.
 
1. Diarra
2. Dickson Job
3. Kibwana
4. Bacca
5. Mwamnyeto
6. Bangala
7. Musonda
8. Sure Boy
9. Mayele
10. Mudathir
11. Morrison
Sub: Metacha, Juma Shaban, Lomalisa, Farid Musa, Aziz Kii, Tuisila Kisinda, Jesus Moloko, Clement Mzize, Zawadi Mauya, nk.
[emoji123]
 
Back
Top Bottom