Impossible.R Madrid, Bayern & Barca - sasa hivi hawa wote wanahaha kuomba kwa miungu yao ili Liverpool watolewe usiku wa leo.
YNWA!
waulize kina C Ronaldo & mjombake Mourinho (R Madrid) walichofanywa na Klopp UCL 2013 watakwambia...I
Impossible.
R Madrid, Bayern & Barca - sasa hivi hawa wote wanahaha kuomba kwa miungu yao ili Liverpool watolewe usiku wa leo.
YNWA!
Liver wako vizuri sana Lakini kuna likiumbe linaitwa La Puga usiombe kuwa nalo uwanjan.
uzoefu? you lost it, dude...Ni bora Man city apite coz ana uzoefu na ucl. Huyo liverpool wenu mtaniambia. Ngoja akutane na Mfalme wa soka kuwahi kutokea ndio mtajuwa nini maana ya uefa.
Spain ni mlango wenye maandishi EXIT. Page 3 za ngonjera haziwazuii Messi na Ronaldo kufanya yaoWasubirini magiant mcheze nao maana big mechi yenu ya kwanza ndo hii mliyoshinda Tatu...tena ni uingereza kwa uingereza ....subiri mpelekwe Hispania
uzoefu? you lost it, dude...
LFC: 5 times UCL champions. ndani ya miaka 13 iliyopita amebeba ndoo 1, amefika 2 finals & 1 semifinal.
MC: UCL champions only once. ndani ya miaka 13 iliyopita kafika 1 semifinal.
YNWA!
Mbona hujazungumzia mpira kipindi cha kwanza? Baada ya kupata rungu tatu, kocha ameamua kubadilisha system. Au hujui mpira ndio kwanza uone juzi?Man city hakuwa na safu nzuri tu ya umaliziaji ila kwa mpira ule wa liver kipindi cha pili ombeni sana msikutanishwe na timu kama barca au madrid mtaoga mvua ya magoli ile kutolewa tu salah wote wakarudi nyuma kujilinda wakawa wanapoteza mpira hovyo tu
Mimi siyo mshabiki wa Liverpool lakini najua mechi ya leo inaweza kuwa ngumu sana kwake.
Pia naomba Liverpool ashinde ili akapambane na wababe wa Spain.
Ni wakati wa kubadili upepo wa mpira. Tumezoea kuona Ronaldo na Messi pekee.
Sasa ni muda wa Uingereza.
Ni bora Man city apite coz ana uzoefu na ucl. Huyo liverpool wenu mtaniambia. Ngoja akutane na Mfalme wa soka kuwahi kutokea ndio mtajuwa nini maana ya uefa.
Chezea wengine ila sio King, Messi weka mbali na watoto
Achana na historia mkuu. Sasa mi naona tuyaache haya..tusubiri muda ndio utaongea. Na akiweza kupita basi amekuisha maana kuna BARCA, MADRID NA BAYERN sasa sijui atapumulia wapi. Na Messi kama unavyo mjuwa mzee wa hattrick ananjaa ile mbaya
HahahahMleta mada anatuletea gundu liverpool, sisi tunataka watu wanaosema tunashindwa ili tuwaonyeshe tunaweza
Chezea wengine ila sio King, Messi weka mbali na watoto
Liverpool anaweza akamfunga Bayern, ila sio wale jamaa wa Spain!
Sevilla tu kashindwa kuwafunga, sioni anapona vipi kwa the big boys Madrid na Barca!
Kuna jamaa alianzisha Uzi kusifia team za EPL 5 kuingia nock out stage, akadiriki kusema team za Laliga hazitafurukuta kwa team za EPL. Sasa hivi ameukimbia Uzi wake!
Usijali mkuu, nitaufukua huu uzi muda ukiwadia!